Kwanini wanafunzi wa International schools wao huwa hawatolewi Darasani kwenda kushangilia watawala

Kwanini wanafunzi wa International schools wao huwa hawatolewi Darasani kwenda kushangilia watawala

We mzazi unaemsomesha mtoto wako St kayumba hulipii hata senti 1 zaid ya kumnunulia mtoto wako bukta na daftari anafika hadi darasa la nne hajui mathematical table ukimwambia aimbe tabe ya 1 tu hajui unataka kujilinganisha na watoto wa IS?

Mtoto wako anaandaliwa kuwa mjinga kwahiyo tulia usijitingishe wakimfukuza hapo huna sehemu unaweza kumpeleka
 
Back
Top Bottom