Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 979
- 1,256
Mtaji wa mwanasiasa ni maskini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia japo sina uhakikaIla CCM huwa inagharamikia usafiri some time
Hizo shule wanajitambua ni kama cha TLS.St Kayumba ni kama cha Wakandarasi au chama cha Waalimu.Jana pia niliuza Kwenye comment wa Uzi flani ,kwann hawa wtt wa international hawendagi Kwenye hayo matamasha ya CCM Wala walimu wao..
KabisaWazazi wa wanafunzi wa international school wanamaamuzi ya nchi.kwa hiyo hawawezi kukubali watoto wao kuvurugwavurugwa na CCM.Wazazi wao ndiyo hao watoto wa mawaziri Mfano mwigulu nchemba au mtoto wa GSM aende kushangilia mkutano wa CCM?Hizi shule za kayumba zimeandaliwa Kwa ajili ya tabaka la kutawaliwa ndiyo maana wanapelekeshwa kupokea rais ili kujaza watu aonekane anapendwa na kuendelea kuwajaza maujinga ili wawe na ufikiri mdogo. Kipindi tunasoma enzi zetu tuliimbishwa nyimbo za kijinga za kuaminishwa idd amini alikuwa anakula nyama za watu kumbe uongo mtupu.
MLIPA ZUMARI NDIYE MCHAGUA NYIMBO.Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.
Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.
Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.
Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.
Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.
Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.
Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.
Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.
Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.
Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.
Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
😃😃😃ulisha wahi kuona chips mayai kwenye msiba? Ni ugali au uji ndo chakula cha misibani........tafakari mkuu.
Ww ukisema hyo ndyo kutangaza shule mh syo kwl kwa mfano hz international school za uku Arusha saif wanazo mashndano yao ambayo kuna burund yaan East Africa nzma wanaleta kushndana nazo lakn hz kumtowa mtt umpeleke ajala hata aseme oyeeh syo kabsaaYaani kweli kabisa ndugu yangu unataka kutuambia kuwa umewahi kuwaona wanafunzi wa Tanganyika international school wamejipanga barabarani wanangojea mwenge? Tafaadhali ndugu.
Hii sio hoja, bila ada imekuja baada ya 2015MLIPA ZUMARI NDIYE MCHAGUA NYIMBO.
International School mlipa ada ni mzazi.
Government school mlipa ada ni serikali.
Ukibisha unalako jambo.
Uzi ufungwee.Wanafunzi wa shule za serikali ni mali ya serikali kwa 100%,
Wanao wanasoma wapiiiii wewe mkuu?Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.
Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.
Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.
Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.
Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.
Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.
Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.
Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.
Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.
Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.
Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Kudadekii huyu mtoa mada ni bakhresa kumbe?Uzi ufungwee.
ulisha wahi kuona chips mayai kwenye msiba? Ni ugali au uji ndo chakula cha misibani........tafakari mkuu.
Wao ndo watawala wenyewe 😂 au unataka wakajishangilieJiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.
Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.
Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.
Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.
Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.
Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.
Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.
Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.
Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.
Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.
Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Hakunaga ratiba ya siku kwa siku muhula mzima, wote tumesoma msingi na sekondari bongo!Hawa shule za walala hoi hakuna ratiba?
Hata mnao jiuliza hayo maswali pia ni wajingaJana pia niliuza Kwenye comment wa Uzi flani ,kwann hawa wtt wa international hawendagi Kwenye hayo matamasha ya CCM Wala walimu wao..
Kuna English Medium na international school, Arusha kama kuna international school ni moja tuJiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.
Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.
Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.
Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.
Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.
Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.
Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.
Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.
Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.
Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.
Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Ukisha sema intaneshno schools manayake siyo ya serikali ndomana huwezi kuta walimu wa intaneshno wanabeba mabango mei mosi ….. ukisha kuwa mtumishi wa serikali wew ni mtumwa huna tofauti na mfungwaJiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.
Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.
Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.
Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.
Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.
Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.
Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.
Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.
Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.
Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.
Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.