Kwanini Wanafunzi wakipanda Bus binafsi kwenda shule wanalipa 200; lakini kwenye maonesho ya serikali sabasaba wanalipishwa 1500

Kwanini Wanafunzi wakipanda Bus binafsi kwenda shule wanalipa 200; lakini kwenye maonesho ya serikali sabasaba wanalipishwa 1500

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Msimu wa maonesho ya sabasaba umewadia

Kwenye daladala binafsi watoto hulipa mia mbili tu kupanda!

Inakuwaje Kwenye maonesho ya sabasaba ya serikali wanafunzi waingie kwa tsh 1500/3000 au zaidi wakati wanakwenda kujifunza na hawana kipato chochote?!

Yaani daladala anaeweka mafuta unamwamuru awabebe bure, halafu wewe ambaye huna cha gharama ya mafuta wanafunzi unawalipisha kama watu wazima kwa sababu gan?
 
Msimu wa maonesho ya sabasaba umewadia

Kwenye daladala binafsi watoto hulipa mia mbili tu kupanda!

Inakuwaje Kwenye maonesho ya sabasaba ya serikali wanafunzi waingie kwa tsh 1500/3000 au zaidi wakati wanakwenda kujifunza na hawana kipato chochote?!

Yaani daladala anaeweka mafuta unamwamuru awabebe bure, halafu wewe ambaye huna cha gharama ya mafuta wanafunzi unawalipisha kama watu wazima kwa sababu gan?
Wanalipa nusu lakini, kwa hiyo ni sawa tu. Maonyesho ya Sabasaba ni ya biashara, mwanafunzi asome, biashara ataikuta akimaliza chuo
 
Badala ajifunze biashara tangu mtoto wewe ni hadi umalize chuo.!
Kama lengo ni kujifunza biashara, basi aanze kujifunza kulipia huduma, alipe tu sh. 1,500/= ili ajue biashara ni kuuziana na kununuliana
 
Yaani amalize chuo ndiyo akajifunze biashara duh
Si lazima kila mtu awe mfanyabiashara, tunahitaji wazalishaji zaidi kuliko wafanyabiashara wasiozalisha bidhaa, wanafanya uchuuzi tu. Azingatie masomo, ajifunze kuzalisha, halafu biashara ya uzalishaji wake itajifanya tu yenyewe
 
Si wanalipa kidogo tofauti na wakubwa...
 
Watoto sio lazima kwenda 77 ila ni lazima kwenda shule halafu shule ni issue ya miaka kadhaa ya masomo 77 ni issue ya muda mfupi sana labda wiki moja tu.

Mwisho mtataka hadi mbususu wanafunzi wapewe kwa 200 kama kwenye daladala/mwendo kasi.
 
Watoto sio lazima kwenda 77 ila ni lazima kwenda shule halafu shule ni issue ya miaka kadhaa ya masomo 77 ni issue ya muda mfupi sana labda wiki moja tu.

Mwisho mtataka hadi mbususu wanafunzi wapewe kwa 200 kama kwenye daladala/mwendo kasi.
Yale ni maonesho ya kimataifa, kujifunza
 
Yale ni maonesho ya kimataifa, kujifunza
Sasa kama ni kujifunza lipa 1500 mwanao aende kama unashindwa mtafutie baba wa kukusaidia issue za pesa.
Kuna ubaya gani ukisaidiwa kwa mkeo mzee baba..?
1500 inakuuma mkeo unaweza kumwekea bando la data kweli?
Au anatumia simu ya kitochi iliyofungwa na mipira?
Jikaze aisee,wote hali zetu ni ngumu lakini lazima tupambane.
 
Msimu wa maonesho ya sabasaba umewadia

Kwenye daladala binafsi watoto hulipa mia mbili tu kupanda!

Inakuwaje Kwenye maonesho ya sabasaba ya serikali wanafunzi waingie kwa tsh 1500/3000 au zaidi wakati wanakwenda kujifunza na hawana kipato chochote?!

Yaani daladala anaeweka mafuta unamwamuru awabebe bure, halafu wewe ambaye huna cha gharama ya mafuta wanafunzi unawalipisha kama watu wazima kwa sababu gan?
Kwa maoni yangu nauli za daladala na mwendokasi ziwe flat rate tu. Maana hawana adabu. Mtu mzima unapanda unakosa siti mwanafunzi amekaa amekukazia macho tu. What for?
 
Kwa maoni yangu nauli za daladala na mwendokasi ziwe flat rate tu. Maana hawana adabu. Mtu mzima unapanda unakosa siti mwanafunzi amekaa amekukazia macho tu. What for?
Unamwambia
 
Sasa kama ni kujifunza lipa 1500 mwanao aende kama unashindwa mtafutie baba wa kukusaidia issue za pesa.
Kuna ubaya gani ukisaidiwa kwa mkeo mzee baba..?
1500 inakuuma mkeo unaweza kumwekea bando la data kweli?
Au anatumia simu ya kitochi iliyofungwa na mipira?
Jikaze aisee,wote hali zetu ni ngumu lakini lazima tupambane.
Asante kwa ushauri
 
Watoto sio lazima kwenda 77 ila ni lazima kwenda shule halafu shule ni issue ya miaka kadhaa ya masomo 77 ni issue ya muda mfupi sana labda wiki moja tu.

Mwisho mtataka hadi mbususu wanafunzi wapewe kwa 200 kama kwenye daladala/mwendo kasi.

Kwani wanafunzi pia wana hizo unazoita mbususu?
 
Back
Top Bottom