Kwanini Wanafunzi wakipanda Bus binafsi kwenda shule wanalipa 200; lakini kwenye maonesho ya serikali sabasaba wanalipishwa 1500

Kwanini Wanafunzi wakipanda Bus binafsi kwenda shule wanalipa 200; lakini kwenye maonesho ya serikali sabasaba wanalipishwa 1500

Msimu wa maonesho ya sabasaba umewadia

Kwenye daladala binafsi watoto hulipa mia mbili tu kupanda!

Inakuwaje Kwenye maonesho ya sabasaba ya serikali wanafunzi waingie kwa tsh 1500/3000 au zaidi wakati wanakwenda kujifunza na hawana kipato chochote?!

Yaani daladala anaeweka mafuta unamwamuru awabebe bure, halafu wewe ambaye huna cha gharama ya mafuta wanafunzi unawalipisha kama watu wazima kwa sababu gan?
1300
tozo ya 7-7 mkuu hairudigi tena huo ndio mda wa kupiga mpaka mwakan wakimaliza
 
Kwa sababu ni wazi imekuwa rahisi kuwaonea wenye mabasi binafsi.

Jukumu la kulipia gharama za usafiri wa watoto sio la wafanya biashara binafsi. Jukumu la wafanyabiashara ni kulipa kodi.
 
Kwa sababu ni wazi imekuwa rahisi kuwaonea wenye mabasi binafsi.

Jukumu la kulipia gharama za usafiri wa watoto sio la wafanya biashara binafsi. Jukumu la wafanyabiashara ni kulipa kodi.
Kweli kabisa
 
Bei za vitu sabasaba zko promoted tu ukienda kkoo zko chini
 
Back
Top Bottom