Wameoandisha bei msimu huu kuingia sabasaba ni elf 4 hutaki pita hiviJijibu mwenyewe!!
Leo kiingilio elfu 4 sabasabaWapi huko mkuu, tuje tuwazonee "woooooo"
1300Msimu wa maonesho ya sabasaba umewadia
Kwenye daladala binafsi watoto hulipa mia mbili tu kupanda!
Inakuwaje Kwenye maonesho ya sabasaba ya serikali wanafunzi waingie kwa tsh 1500/3000 au zaidi wakati wanakwenda kujifunza na hawana kipato chochote?!
Yaani daladala anaeweka mafuta unamwamuru awabebe bure, halafu wewe ambaye huna cha gharama ya mafuta wanafunzi unawalipisha kama watu wazima kwa sababu gan?
wanahela mkuu bk nne napata chips za bonge na mishikaki miwili ya maana katumbo knanenepaLeo kiingilio elfu 4 sabasaba
Ni sawa na Han...c kwrnda lodge na manziSabasaba bila hela ni kupoteza muda tuu
Kweli kabisaKwa sababu ni wazi imekuwa rahisi kuwaonea wenye mabasi binafsi.
Jukumu la kulipia gharama za usafiri wa watoto sio la wafanya biashara binafsi. Jukumu la wafanyabiashara ni kulipa kodi.