Kwanini Wanafunzi wenye Account namba za CRDB hawajapata pesa kutoka HELSB?

simbambili

New Member
Joined
May 29, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Wanafunzi wa Vyuo Vikuu hasa wale wa mwaka wa kwanza na watumiaji wa accounts za CRDB hadi sasa hawajapata boom Lao la 4 hii inasababishwa na nini wakuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…