Kwanini Wanajeshi wa Tanzania wanashambuliwa DRC?

Kwanini Wanajeshi wa Tanzania wanashambuliwa DRC?

Jamani hizi si harakati za majeshi yetu kujiongezea kipato,Inatulazimu tuhuzunike kwa vile vifo vimetokea,lakini wazo la kujitoa siliafiki.
 
Uyasemayo yana ukweli fulani kwani utajiri mkubwa wa Kagame na pia sehemu kubwa ya maendeleo anayosifiwa Kagame kuyaleta Rwanda ni uwizi wa Raslimali za Wakongo iliyokuwa ikiporwa na askari wa Rwanda kwa kivuli cha M23, baada ya hao M23 kuvurushwa na walinzi wa amani kwa msaada wa JWTZ Kagame alihamaki enzi za J.M.Kikwete.
Hivyo bado wanawahujumu jeshi letu ili Mkulu apate sababu ya kuwaondoa huko DRC na kwa urafiki wake na Kagame tusishangae akafikia uamuzi huo.
Itakuwa kosa kubwa kutoa majeshi yetu kongo kwa sasa maana wale wezi wa rasilimali ya kongo watarudi kwa nguvu na wakishafanikiwa watatusumbua.Majeshi yetu ni busara yaendelee kubaki Congo
 
Oohhh pole sana mama !! Unasikitika kidogo unawatia nguv wafiwa.


Unakaroho kazuri eeehh?.
sana...
nawajali sana walinzi wa mataifa
hakuna watu nawaheshimu kama wanajeshi
siku ambazo watu tutajificha kwenye mahandaki wao watauza nafsi....
Wamejitolea kutulinda kwa namna yoyote...


Ndio maana nmeguswa sana...
 
sana...
nawajali sana walinzi wa mataifa
hakuna watu nawaheshimu kama wanajeshi
siku ambazo watu tutajificha kwenye mahandaki wao watauza nafsi....
Wamejitolea kutulinda kwa namna yoyote...


Ndio maana nmeguswa sana...
Vzuri sanaa,, kweli nivzuri kulipenda jeshi lako .maana jeshi ni Mlinzi.

Vipi ikiwa nitakua Mlinzi wako ,, siku niki rest in peace ,,Kipi utanikumbukia ?? Nakipi utakifanya kunienzi.
 
Aisee kuna jamaa yangu mwanajeshi amedai kuwa tatizo ni siasa zetu hasa mahusiano yetu na rwanda hakika mtoa mada hili jambo ni sahihi kabisa

Kuna ukweli mkubwa juu ya maisha ya wanajeshi wetu kule congo ni wakati wa mkulu kurekebisha sera zake dhidi ya mataifa haya ya jirani
 
sab
Kwa kweli naongea kwa masikitiko makubwa sana, hivi kweli Wacongo wanaweza kuwauwa Watanzania kama hivi?, jibu ni BIG NO, Watamzania tunaheshima kubwa sana Congo, sisi ndio ndugu wa damu pekee kwa waCongoMan, nimezunguka Congo, hasa niseme East Congo, Nord Congo na Katanga province, kote huko (naomba niongee kicongo) Batanzanie ni batu ba kuheshimika sana,
Sio rahisi kwa mcongoman kumuua Mtanzania, Nasema hivyo kwa ushahidi wa 100% haiwezekani, hata hao watu wa Maimai chini ya Jean Kutumba aliyepo Ubembe kamwe hawezi kumuua Mtanzania, au kwa Raia Mtomboki aliyepo Urega, Shabunda, Mtanzania ni mtu wa thamani sana DRC

KITENDO CHA WATANZANIA KUWA KARIBU NA RWANDA (TUTSI) NDIO TUMEJICHIMBIA KABURI KUBWA SANA. KAMWE HATUWEZI KUWA SALAMA DRC,
Mision yetu ya kwanza tuliyokuwa nayo Congo sio tuliyonayo yo sasa (back door)"
Kamwe hatuwezi kuwa salama

Uncle kwa Siasa zako za East Africa unazoziendesha ni Bora kuwarudisha vijana wetu Nyumbani, nje ya hapo kwa kweli tutalia sana, Uncle unamapungufu makubwa sana kwenye Uelewa wako wa siasa za East and Central Africa, hasa Tutsi wakiwa main subject

Sina mengi, mods mkiamua kuufuata huu uzi sawa, lakini ntakuja na detailz za siasa za Tanzania, Rwanda, DRC na wapi tunakosea

CC: Nguruvi3 , JokaKuu , Mag3 , Pascal Mayalla
sababu zipo nyingi. Ila kubwa inaonekana ni kujiamini kupita kiasi hasa baada ya kuwashinda waasi wa M23. Kumbuka lile group lililoenda mwanzo na kuwashinda m23 lote limerudishwa nyumbani na wanapokezana linaenda group lingine. Kwahiyo kuna kujisahau na kuona kazi imebaki kidogo baada ya ushindi wa m23; kuna kupoteza umakini sababu ukiona kushambuliwa na kujeruhiwa na kuuwawa kwa idadi kubwa kiasi hicho ni dhahili walishtukizwa na hawakuwa na taadhari yoyote. Pia wanaliamini jeshi la DRC na kufanya nalo joint operations je wana uhakika ndani ya jeshi la DRC hamna mamluki wa waasi wanaovujisha siri? Tatu mbona askari ya nchi nyingine zenye askari katika kikosi cha UN kama Africa kusini na Malawi hawauwawi au wanajeshi wetu hawafati weledi?
 
Wafe tuuh, urafiki na kagame mnategemea nini??
Hii ni nguvu ya msiba kwa jirani kama kaka yako angekuwa amepoteza maisha usingeandika hivyo. Siamini kama Watanzania tumefikia hatua ya kuwatukana wafiwa badala ya kuwapa pole!
 
njoo inbox mkuu wangu umeadimika sana
ha ha ha,mimi ni wa kuadimika jf kweli?,yaani tangu nijiunge na jf 2011 nimeacha siku tatu tu nilipofanyiwa upasuaji,vidole vilipoanza kucheza tu nikalog in,,
huwa nachepuka dakika chache kuingia twitter kujikeep up to the second,
lakini juzi,nimemtukana sana Trump,wakanila ban eti wanadai mie Robot,ha ha ha,
 
Siwaamini wanyarwanda wanaweza kua sababu ya vijana kushambuliwa! Miaka yote ya nyuma hatukuandamwa na wimbi la mauaji kiasi hiki !!

Mlienda kufanya nin kule mambo hayawahusu mkaingilia why hawauwai wale wanajesh wa Monuc
 
Uyasemayo yana ukweli fulani kwani utajiri mkubwa wa Kagame na pia sehemu kubwa ya maendeleo anayosifiwa Kagame kuyaleta Rwanda ni uwizi wa Raslimali za Wakongo iliyokuwa ikiporwa na askari wa Rwanda kwa kivuli cha M23, baada ya hao M23 kuvurushwa na walinzi wa amani kwa msaada wa JWTZ Kagame alihamaki enzi za J.M.Kikwete.
Hivyo bado wanawahujumu jeshi letu ili Mkulu apate sababu ya kuwaondoa huko DRC na kwa urafiki wake na Kagame tusishangae akafikia uamuzi huo.

Kama anaiba Kongo why na nyie msiende kuiba mkijifanya wasamaria wema kongo ina matatizo yake toka 1950 mtoke kule mfanye maisha yenu Tz shenz kabisa
 
Kwa kweli naongea kwa masikitiko makubwa sana, hivi kweli Wacongo wanaweza kuwauwa Watanzania kama hivi?, jibu ni BIG NO, Watamzania tunaheshima kubwa sana Congo, sisi ndio ndugu wa damu pekee kwa waCongoMan, nimezunguka Congo, hasa niseme East Congo, Nord Congo na Katanga province, kote huko (naomba niongee kicongo) Batanzanie ni batu ba kuheshimika sana,
Sio rahisi kwa mcongoman kumuua Mtanzania, Nasema hivyo kwa ushahidi wa 100% haiwezekani, hata hao watu wa Maimai chini ya Jean Kutumba aliyepo Ubembe kamwe hawezi kumuua Mtanzania, au kwa Raia Mtomboki aliyepo Urega, Shabunda, Mtanzania ni mtu wa thamani sana DRC

KITENDO CHA WATANZANIA KUWA KARIBU NA RWANDA (TUTSI) NDIO TUMEJICHIMBIA KABURI KUBWA SANA. KAMWE HATUWEZI KUWA SALAMA DRC,
Mision yetu ya kwanza tuliyokuwa nayo Congo sio tuliyonayo yo sasa (back door)"
Kamwe hatuwezi kuwa salama

Uncle kwa Siasa zako za East Africa unazoziendesha ni Bora kuwarudisha vijana wetu Nyumbani, nje ya hapo kwa kweli tutalia sana, Uncle unamapungufu makubwa sana kwenye Uelewa wako wa siasa za East and Central Africa, hasa Tutsi wakiwa main subject

Sina mengi, mods mkiamua kuufuata huu uzi sawa, lakini ntakuja na detailz za siasa za Tanzania, Rwanda, DRC na wapi tunakosea

CC: Nguruvi3 , JokaKuu , Mag3 , Pascal Mayalla
Kwani hao wanajeshi wameenda lini Congo mbona unataka kumtwisha mtu mwingine mzigo
 
Mkuu inamana kweli PaKa anaweza akawa na Nguvu kutuzidi? Au ni uswahiba usio na kichwa wala miguu ndo umetufikisha hapa..!!!!
PaKa anatumia espionage ya hali ya juu, sio wingi wa jeshi au bajeti kubwa ya jeshi bali ni rasilimali watu ya maana katka Intelligence aliyonayo
 
Mimi bado naamini Rwanda wanafanya kila njia kuhakikisha majeshi yetu yanaondoka Kongo.Baada ya M23 kufurumshwa yale majeshi ya Rwanda kwa mgongo wa M23 bila shaka wanatumia waasi wengine lakini kwa minajili ya kulipiza kisasi.maana bila jeshi letu Rwanda bado wangekuwa Kongo kuvuna rasilimali za huko.Tuwe macho na Rwanda si watu wazuri hata kidogo kwenye ukanda huu.
Hakika hilo ndio tatizo wa TZ wamekuwa kikwazo kwa K. Tall kuiba Drc.
 
Back
Top Bottom