Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
OkayTwanga Pepeta super stars kuanzia waimbaji hadi madancer wanafanya kazi kubwa sana ila malipo hayaendani na wanachokifanya ukizingatia kila show wanaingiza mtu nyomi hatari. Hiyo ndo sababu kuu na si vinginevyo. Btw nimewamiss Tam tam ya akina aminna ngaluma hatari.
Sasa amerudi kutumbuiza au kupumzika? Kisiwa cha Band ni dar nakumbuka enzi ya Mango GardenNilimwoa amechoka kweli kiafya na kiuchumi pale Villa mpaka nikatoa machozi. Ila sasa hivi amerudi Dar.
Hahahahah wabongo nuks Alichoki farasi anaburudisha viti? Acha maskhara mkuuKuna siku nilimuona Villa akiburudisha Viti
Jamaa alikua na mademu kibao Sasa hv wote wamemkimbia Alosto sio HB tenaHahahahah wabongo nuks Alichoki farasi anaburudisha viti? Acha maskhara mkuu
Jamaa alikua na mademu kibao Sasa hv wote wamemkimbia Alosto sio HB tena
Wazaramo wanawekezaga kwa mizigo tuKwa hyo ina maana alishindwa kuwekeza kwa miaka yote hiyo aliyofanya kazi?
Wazaramo wanawekezaga kwa mizigo tu
Same to Muumini, Ferooz, Mr. Misifahahahaha kweli aisee wakipata kibanda cha kulala pa kujifichia wakati wa kupigana miti basi imetosha
Hivi kuna yule mdada LILIAN INTERNET yupo?aisee yule mdada kuna siku nipo pale magomeni annex walikuwa wanapiga. TWANGA PEPETA,,,ikafika muda wa AMSHA AMSHA,,,,nakumbuka rapa wao MSAFIRI DIOF ,,,,alianza na MINGOI,,,MINGOI,,,CAMERA,, CAMERA,,basi muda huo wale warembo WACHEZA SHOO,, wakiongozwa na marehemu AISHA MADINDA,,,walianza kuzunguka ukumbi mzima huku wakitafuta MTU wa kumzungushia NYONGA,,bahati ikaniangukia kwa LILIAN INTERNET,,alikuja akanikalia MAPAJANI,,,HUKU akizungusha NYONGA...kama FENI BOVU,,,,aisee,,,JEGEJE LANGU likikuwa kwenye wakati mgumu sana,,,,ingekuwa mchana ningehadhirika MTU MZIMA,, ,,,,nilikuwa nahisi kabisa WAZUNGU WAPO AIRPORT tayari kushuka,,,,yule mdada alikuwa hatari sana,,,,nilichofanya nilichukuwa KUMI nikafinyanga na namba ya Simu nikamfinyia kwenye CHUPI,,,, sikukubali KUFA KIINGEREZA,,,,kwhyo wakuu hawa WACHEZA SHOW kuwaepuka yataka uwe na ROHO YA CHUMA,,especially kama upo nao KARIBU....hao jamaa WAMEKULANA wao kwa wao..ndy tatizo linaanzia hapo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lile feni la Lilian internet nalikumbuka hadi Leo,,,haya sasa washakupandisha genye na wewe umewawekea kwenye vyupi na hawana mtu siku hilo hapo lazima walane aisee, maana wengi wanawaoogopa wanadhani gharama kubwa aiseee, ila ulikula rahaaa, kama vile nakuona mtoto liliani anavyokutesa kunako wazungu,. acha wazungu wachungulie kinoma. yani , hakika mango na twanga kilikuwa kisiwa ch burudani, sasa ni mapangale kwa kwenda mbele.
Hata POMBE ukiiona kwenye CHUPA imetulia,,,,UKIINYWA ndy UNAANZA KUSUMBUWA....MWANAMKE mwingine MTAMU akiwa UCHI,, hapo GUSA unate..tena hapo kishaanza KUCHOKA MKUU,,, usimdharau ANAYELILIA MAPENZI,,hujuwi anachopewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani waathirika hawafi kwa ajali mkuu?Siyo wote wametangulia kwa sababu ulizozitaja. Kwa kumbukumbub zangu, Baba Diana(Abu Semhando) alikufa kwa ajali ya gari kugonga pikipiki yake,nafikiri kule Makonde-Mbezi Beach.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sina taarifa zake,,,ni miaka mingi sana,,,imepita.Je huyo dada Lilian Internet yupo hai au yuko wapi na anafanya nini siku hizi kama bado yupo hai?
Kama kuna mtu anakipande cha video atuwekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sina taarifa zake,,,ni miaka mingi sana,,,imepita.
Sasa kipindi chake hicho ndy alikuwa Lilian internet kweli...ni hatari tupu Mkuu,,,Lillian yupo hai now anaimba mziki ametoa ngoma kadhaa ila ukweli ni mzuri kwa kiwango chake.
Roger muzunguKweli wewe mhenga umewakumbuka wote hakika ulikula raha ila diamondo saundo hukuitaja ile ya kamuke sukari, diana astovila, eliston angai elly kinyama, jesus, elly longomba na Lillian internet. Na mkuu wa majeshi
Mkuu hao uliowataja ni marehemu sasa watajikingaje.Waache marehemu wampumzike,hakuna ambaye hatakufa hapa duniani,kama si ukimwi kuna Corona ,kuna maradhi mengine ,kuna uzee,mkuu kama unapumua jua kuna siku usiyoijua utashindwa kupumua.wana Jamvi,
Ni suala la kushangaza sana kwa takribani ya miaka mitatu sasa, tumesikia vifo vingi vya wasanii wa Twanga pepeta.
Tumekosa sana waburudishaji ambao walizikonga nyoyo zetu. Ni njia gani itumie kuwaookoa kwani idadi inatisha?
Mlolongo wa vifo unasemekana kutokana na maradhi ya kisasa na Dawa za kulevya. sijajua kwanini wanajiingiza uvutaji wa madawa haya.
Angalia Banza Stone, Diana Aston Villa, Halima White, Amigolas, Baba Diana, Aisha Madinda na wengine wengi.
Labda Mkurugenzi wao awatafutie namna ya kujikinga na vitu hivi kama kujamiana, pamoja na stress zinazowafanya waingie uvutaji wa madawa. Hivi sasa Mango kisiwa cha burudani kimekufa, hapo bado kupiga mziki kwa kiingilio cha bia kama walivyo FM Academia.
Atakuwa aliingizwa na mjomba wake kwenye dansi la Twanga siku mmoja alipokuja kumtembelea mjomba hapa jijini kabla hajarudi kwa Mpitimbi na tokea wakati huo Dar anaiona tu TBC .We mgeni hapa mjini nn siku izi kuna Mango tena ama
Shughuli za band yaani Twanga Pepeta amemwachia Luiza Nyoni kuongoza huku yeye akibaki kwenye umilki na mambo mengineMama Asha Baraka "Ironlady" chini ya ASSET amekabidhi uongozi au ni kwa Band pekee?