Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Baba yake alikuwa anauza rangi ya ukiri kibaha...wakat jamaa anakula maisha....
 
Lilian Internet... uno mashine. Yupo wapi nowadays?

-Kaveli-
 
Yaani hakuna msichana alikuwa anawalaza vibaya wanaume kama Aisha Madinda, akiaanza kucheza pale stageni karibia wanaume wengi mbele panatuna, kijiti kile kimemwonda jamani.

Kuna aliyemlisha unga, akampa hela, akamdanganya nakutoa kimaisha. Buana weee
 
HIV/AIDS ni mbaya mkuu
 
uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani?
 
uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani?

Labda alikuwa anazurula na vikaratasi vishaandikwa namba tayari [emoji1787]
 
kiongozi hii stori muendelezo wake ukoapi?😆
 
uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani

uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani?
Namba ya simu imeandikwa kwenye noti ya elfu 10,
Au pia nalo linahitaji masaa mangapi kuandika namba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…