Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhMaisha yanaenda res sana,huu ndio muonekano wa Luiza Mbutu!View attachment 3169186
Mkorogo aftermathMaisha yanaenda res sana,huu ndio muonekano wa Luiza Mbutu!View attachment 3169186
Na ndo dancer pekee aliestaafu akaagwa twanga pepeta.. sas ahivi kaolewa ana familiaLiliani internet, Ana sura nzuri, k nzuri, heshima ya kutosha. Mungu azidi kumpa maisha marefu.
Yaani hakuna msichana alikuwa anawalaza vibaya wanaume kama Aisha Madinda, akiaanza kucheza pale stageni karibia wanaume wengi mbele panatuna, kijiti kile kimemwonda jamani.
Pamoja nayote ila bado nawaheshimu saa hawa malegend kusema ukweli walitupa burudani kwenye prime zao.Walio hai Mungu awapiganie afya zao na walio tangulia RIP.Mkorogo aftermath
Aliwekezs kwenye viunoKwa hyo ina maana alishindwa kuwekeza kwa miaka yote hiyo aliyofanya kazi?
Mhhh!! Mbona kila nikiivuta taswira ya Luiza Mbutu ninayemfahamu, naona haiendani kabisa na taswira ya Luiza Mbutu wa kwenye hii picha.Maisha yanaenda res sana,huu ndio muonekano wa Luiza Mbutu!View attachment 3169186
HIV/AIDS ni mbaya mkuuwana Jamvi,
Ni suala la kushangaza sana kwa takribani ya miaka mitatu sasa, tumesikia vifo vingi vya wasanii wa Twanga pepeta.
Tumekosa sana waburudishaji ambao walizikonga nyoyo zetu. Ni njia gani itumie kuwaookoa kwani idadi inatisha?
Mlolongo wa vifo unasemekana kutokana na maradhi ya kisasa na Dawa za kulevya. sijajua kwanini wanajiingiza uvutaji wa madawa haya.
Angalia Banza Stone, Diana Aston Villa, Halima White, Amigolas, Baba Diana, Aisha Madinda na wengine wengi.
Labda Mkurugenzi wao awatafutie namna ya kujikinga na vitu hivi kama kujamiana, pamoja na stress zinazowafanya waingie uvutaji wa madawa. Hivi sasa Mango kisiwa cha burudani kimekufa, hapo bado kupiga mziki kwa kiingilio cha bia kama walivyo FM Academia.
Dah, mkorogo haumwachi mtu salamaMaisha yanaenda res sana,huu ndio muonekano wa Luiza Mbutu!View attachment 3169186
uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani?Hivi kuna yule mdada LILIAN INTERNET yupo?,
Aisee ,!!yule mdada kuna siku nipo pale magomeni annex walikuwa wanapiga. TWANGA PEPETA,,,
Ikafika muda wa AMSHA AMSHA,,,,
rapa wao MSAFIRI DIOF ,,,,
alianza na "MINGOI,,,MINGOI,,,CAMERA,,"[emoji443][emoji441] CAMERA,,[emoji443][emoji441],
Basi muda huo wale warembo WACHEZA SHOO,,
wakiongozwa na marehemu AISHA MADINDA,,,
walianza kuzunguka ukumbi mzima huku wakitafuta MTU wa kumzungushia NYONGA,,
Bahati ikaniangukia kwa LILIAN INTERNET,,
Mtoto alikuwa na kiuno lainii'',
Alikuja akanikalia MAPAJANI,,,
HUKU akizungusha NYONGA ,,
kama FENI BOVU,,,,
Aisee,,,JEGEJE LANGU likikuwa kwenye wakati mgumu sana,,,,
ingekuwa mchana ningehadhirika MTU MZIMA,, ,,,,
Nilikuwa nahisi kabisa WAZUNGU WAPO AIRPORT tayari kushuka,,,,
yule mdada alikuwa hatari sana,,,,
Nilichofanya nilichukuwa noti ya elfu KUMI ,
nikafinyanga na namba ya Simu nikamfinyia kwenye CHUPI,,,, sikukubali KUFA KIINGEREZA,,,,
Kwhyo wakuu ,,hawa WACHEZA SHOW kuwaepuka yataka uwe na ROHO YA CHUMA,,
especially kama upo nao KARIBU....
Hao jamaa WAMEKULANA wao kwa wao..ndy tatizo linaanzia hapo...
Sent using Jamii Forums mobile app
uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani?
kiongozi hii stori muendelezo wake ukoapi?😆Hivi kuna yule mdada LILIAN INTERNET yupo?,
Aisee ,!!yule mdada kuna siku nipo pale magomeni annex walikuwa wanapiga. TWANGA PEPETA,,,
Ikafika muda wa AMSHA AMSHA,,,,
rapa wao MSAFIRI DIOF ,,,,
alianza na "MINGOI,,,MINGOI,,,CAMERA,,"[emoji443][emoji441] CAMERA,,[emoji443][emoji441],
Basi muda huo wale warembo WACHEZA SHOO,,
wakiongozwa na marehemu AISHA MADINDA,,,
walianza kuzunguka ukumbi mzima huku wakitafuta MTU wa kumzungushia NYONGA,,
Bahati ikaniangukia kwa LILIAN INTERNET,,
Mtoto alikuwa na kiuno lainii'',
Alikuja akanikalia MAPAJANI,,,
HUKU akizungusha NYONGA ,,
kama FENI BOVU,,,,
Aisee,,,JEGEJE LANGU likikuwa kwenye wakati mgumu sana,,,,
ingekuwa mchana ningehadhirika MTU MZIMA,, ,,,,
Nilikuwa nahisi kabisa WAZUNGU WAPO AIRPORT tayari kushuka,,,,
yule mdada alikuwa hatari sana,,,,
Nilichofanya nilichukuwa noti ya elfu KUMI ,
nikafinyanga na namba ya Simu nikamfinyia kwenye CHUPI,,,, sikukubali KUFA KIINGEREZA,,,,
Kwhyo wakuu ,,hawa WACHEZA SHOW kuwaepuka yataka uwe na ROHO YA CHUMA,,
especially kama upo nao KARIBU....
Hao jamaa WAMEKULANA wao kwa wao..ndy tatizo linaanzia hapo...
Sent using Jamii Forums mobile app
uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani
Namba ya simu imeandikwa kwenye noti ya elfu 10,uongo mwingine bwana shida sana mtu anakukatikia ulipata wapi na muda wa kuandika namba ya simu jamani?