Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Nayeye Amina Ngaluma kashatangulia mbele za haki [emoji25]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zero grazing inahusika. Ongeza nganda. Ni balaa tupu
 
Amigolas alikuwa anasumbuliwa na moyo,akakatazwa kunywa bia akawa anakunywa vinyaji vikali
Moyo ulikuwa mkubwa nadhani mafuta pia
Alitakiwa aende nje lkn nadhani pesa ikawa hamna
Kipindi hicho keshahama twanga yupo bendi ya jeshi Ngerengere kitu km hicho
Anayekumbuka atanirekebisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau safu yote ya waimbaji wa Msondo mkuu hatunao tena.
 
Huo muda wa kuandika namba ya simu uliupataje mkuu
 
Gabi Katanga alikua mpiga drums na Kinanda alikua Ababuu Mwana Zanzibar mambo ya Chuchuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Piga sepa chief... Hata maisha unayo ishi hauendani nayo, ila mazingira yanakufanya uishi hivyo.. Level zako ki maisha ulitakiwa kuwa kama kina Bill..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…