KWANI WAGONJWA WA HIV HAWAGONGWI NA GARI?Ila baba Diana alipata Ajali ya kugongwa na Fiat 682N3 iliyokuwa imesheheni cement toka wazo hill baba D akiwa na pikipiki ngoma ikampitia akawa chapati kabisa take maeneo ya tangi bovu jirani kabisa na home kwake, rip baba Diana baba D
Hawa mademu wameliwa sana, sijui kama kuna aliyesalimika na ule ugonjwaLiliani internet, Ana sura nzuri, k nzuri, heshima ya kutosha. Mungu azidi kumpa maisha marefu.
Duh yule mama nilikuwa namuona mstaarabuNa mzee wa Farasi nae amempitia mama kwa raha zake
Mtu kagongwa na gari kafa cause of death happy Ni HIV au gari? Au hata Kama alikuwa nao tuangalie cause of death ni ipi?KWANI WAGONJWA WA HIV HAWAGONGWI NA GARI? au hawafi vifo vingine tofauti na KUUMWA?Hiyo ni sawa na CHATU kameza MBUZI mwenye SUMU,, BAADA YA SIKU akakutwa KAANGUKIWA NA MTI KAFA, wote hao walikuwa WASHAUMIA MUDA tu,,,hao TWANGA na ile FIRST ELEVEN YA MSONDO NGOMA ni mule mule..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama aligongwa SABABU ya MSONGO wa mawazo,,,Mtu kagongwa na gari kafa cause of death happy Ni HIV au gari? Au hata Kama alikuwa nao tuangalie cause of death ni ipi?
Sina Uhakika ila Wote wana "GRIDI".
Je huyo dada Lilian Internet yupo hai au yuko wapi na anafanya nini siku hizi kama bado yupo hai?
Kama kuna mtu anakipande cha video atuwekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yupi huyo hebu mnifungue macho
Msondo nao walikulana au ?KWANI WAGONJWA WA HIV HAWAGONGWI NA GARI? au hawafi vifo vingine tofauti na KUUMWA?Hiyo ni sawa na CHATU kameza MBUZI mwenye SUMU,, BAADA YA SIKU akakutwa KAANGUKIWA NA MTI KAFA, wote hao walikuwa WASHAUMIA MUDA tu,,,hao TWANGA na ile FIRST ELEVEN YA MSONDO NGOMA ni mule mule..
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh ndio maana watu wanasema jamaa "anao"Hao wote wawili kawala walikuwa wacheza shoo wakubwa wa Mr nice .
mbona unatubania mkuu?
Turudi kwenye uhalisia kifo chake kilitokana na HIV au Ajali ya kugongwa na gari?Kama aligongwa SABABU ya MSONGO wa mawazo,,,uliosababishwa na TANGAZO LA DIANA ASTON VILA,,kwann isiwe sababu ni huo ugonjwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P Abuu...jamaa alikuwa cool sana.Abuu semhando ndo huyo huyo baba diana alikua na mtoto anaitwa diana
Rukia Bruno.
Mtoto alikuwa na viuna sio vya nchii hii.
Alikuwa balaa sana,halafu nyuma makalio yamelegeaaaaaa.
Yaani balaa zito
Maisha yanakwenda mbio sana