Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Alifanya uovu mwingi sana, achilia mbali kudhurumu haki za watu kuishi.
 

Watanzania wanapendwa kudanganywa na kuwa wanafiki. CAG katoa ripoti imeonyesha rushwa kubwa sana kwenye uongozi wa awamu ya 5! mbona hili watu hawaliongelei. Awamu ya tano walikuwa wanadanganya waziwazi na masikini watanzania wengi walikuwa wanajiaminisha mpaka kufika sehemu kuamini eti Covid inaruka nchi yetu tu!
 
Umeanza vizuuri, ila ulipofika kwenye katiba nikajua upo kwenye THE BIG AGENDA

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi mimi bado namshukuru Mungu kuingilia kati.

Nitakuwa namkufuru Mungu nikianza ulalamishi sasa hivi, dhamira ya mama inaonekana kwa macho wala huitaji propaganda kujuwa ana utu.
Mama yenu ana utu wa kucheka cheka na mafisadi
 
Samia anakosea kauli zake eti kuleni urefu was kamba,msivimbiwe, Sasa watu wakianza kunyambulisha Mambo wanaona Ina maana kumbe wanakula Kodi zetu!!!! Mimi niombe ajikite kwenye hotuba za kuandikwa
 
Jambo gan la maana kafanya au hiyo tour marekani ndio jambo kubwa
Ajira huzioni?

Vituo vya afya huvioni?

Miradi ya kimkakati iliyomshinda Mwendazake with many excuses huioni?

Elimu ndio kabisaa?

Barabara za Tarura hapo usiseme,

RUWASA kila kukicha ni miradi mipya,

On top of that kwa sasa pesa sio tatizo sio maofisini wala kwenye miradi,TRA inakusanywa pesa mingi kuliko kipindi chochote na bajeti ya serikali Kwa mara ya kwanza imetekelezwa kwa zaidi ya 90%.

Mahusiano ya Kimataifa yameiwesesha Nchi kukopesheka tena mikopo nafuu na kusaidika na kupewa fursa za biashara na elimu.

In fact orodha ni ndefu Sana,Jiwe alikuwa anapayuka hovyo na kukunja ndita lakini hakuna cha maana alifanya..

Miaka 6 aliishia kuanzisha bila hata ya kukamilisha mradi hata mmja,,sasa mama ni nouma..

Mwisho fuatilia hotuba za bajeti za serikali uone wonders.
 

Wananchi wanakumbukumbu ya utawala wa Kikwete na jinsi nchi ilivyoibiwa, baada ya kifo cha Magufuli Kikwete yule yule ndio mshauri mkuu wa Samia na ameanza kuwarudisha vijana wake wa awamu yake kwenye afasi nyeti serikalini hivyo wananchi wanamuona Samia kama boya tu lakini mwenye serikali ni huyo wasiyemuamini!!! Hivyo kila wakilala wanaota wanaibiwa!!
 
Kwa sababu amewarudisha kundini wapigaji maarufu Tanzania wakiongozwa na mzee wa pembe za ndovu na mmiliki wa Lake oil.
 
Binafsi mimi bado namshukuru Mungu kuingilia kati.

Nitakuwa namkufuru Mungu nikianza ulalamishi sasa hivi, dhamira ya mama inaonekana kwa macho wala huitaji propaganda kujuwa ana utu.
We utu utaula wakati watu wamevimbiwa
 
Achana na propaganda ndugu. Magufuli hakuwa SI unit ya nchi kuhusu nani anafaa au hafai. Walioshika nafasi hizo ni watanzania na wana haki hiyo. Mengineyo ni porojo tu.
SI unit .haaa haaaa haaaa
 
We utu utaula wakati watu wamevimbiwa
Nchi imetulia tuli, hakuna tena kujazana khofu, hata hapa JF members wakongwe walikimbia kuogopa jela.

Fashisti ametwaliwa kuzimu tunamshukuru Mungu hayo mengine ni nyongeza.

Jitu lilileta chuki watu waone mafanikio na kuwa tajiri ni laana na kuwa maskini ni ufahari, huyu si mtu wa kumpenda hata sekunde moja, alitaka maskini waongezeke ili awe Rais wa maskini na wanyonge anatembea na begi kalijaza manoti anagawa kwa anaowapenda yeye, hakuna Urais wa hivyo hapa duniani.
 
Unatumia nguvu nyingi kueleza hivyo vyote kafanya lini mradi gani mpya wa kwake aliouanzia hizo barabara za nyumbani kwako au
 
Kweni wewe huwezi kujiongeza kujua? Au unachotaka ni kupata comment
 
Unatumia nguvu nyingi kueleza hivyo vyote kafanya lini mradi gani mpya wa kwake aliouanzia hizo barabara za nyumbani kwako au
Wewe ndio unatumia nguvu kuonyesha hakuna kilichofanyika.

Mkuu tutajaza Seva bure kwa sababu miradi ni mingi mno? Kwa rejea zaidi fuatilia Bunge Dodoma,kila wizara inaonyesha utekelezaji wa bajeti ya 2021/2022 na mipango mipya 2022/23.

Baadhi tuu ni kama ifuatayo, utajaji wewe kafanya lini πŸ‘‡























































 
Miradi yote kaikuta ni ilikuwa inaenda kasi now inasuasua upigaji umekuwa mwingi koz hakuna ufuatiliaji na usimamizi makini
Kaikuta πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Umeona sasa unavyofeli,hiyo ndio raha ya ubunifu wa tozo na Sasa inakuja Royal tua,subiria wonders zingine..hadi tufike 2025 sio tuu tutafukia legacy bali tutafanya wonders kuliko Rais yeyote aliyewahi kuongoza Tanzania.

Nimekwambia hivi tutajaza Seva,kwa mara ya kwanza utekelezaji wa bajeti ya serikali utavuka 90%,hii haijawahi tokea Tzn kwa sababu pesa zimepatika via TRA,mikopo na wahisani..

Mtu wenu alikuwa mshamba na mbumbumbu wa uchumi,tusiandikie mate nimekupa sehemu ya rejea unaishia kutokota kama maharage 😁😁.πŸ‘‡



























































 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…