CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hawa siyo wabunge kwa maana halisi ya kuwa wawakilishi wa wananchi kwa sababu hawakuchaguliwa na wapiga kura bali waliwekwa hapo kwa amri ya Magufuli, hivyo wananchi hawawaoni kuwa ni wawakilshiwao bali ni watia muhuri wa serikali.Kumbuka pia hawakuchaguliwa na wananchi hiyo pia ni sababu ya kukosa uungwaji mkono.
Endeleeni na dhuluma, wizi wa mali za umma, na ubakaji wa demokrasia, mwisho wenu umeanza kukaribia. Si umeona wananchi tulichokifanya kwa hao TRA, bado sasa kwa hao wabunge wenu mazwazwa.Kama wewe unakijua shinda uchaguzi sasa
Mtauguza na kuugulia Hadi mkomeEndeleeni na dhuluma, wizi wa mali za umma, na ubakaji wa demokrasia, mwisho wenu umeanza kukaribia. Si umeona wananchi tulichokifanya kwa hao TRA, bado sasa kwa hao wabunge wenu mazwazwa.
Wapo Bungeni kwa maslahi yao binafsi maana hawawatetei wananchi ila wanawadidimiza na kushangilia uchafuzi wa uchaguzi, ufisadi na tamaa ya madaraka.Usipende kuhalalisha Mambo yako kwa hisia zako. Umeenda kwenye mitandao mingine ukakuta hali ni tofauti??
COMMENTS ZA WANANCHI KTK MITANDAO BAADA YA WABUNGE KUPATA AJARI:
1. TBC waliochangia mpaka sasa ni 539, kati yao 506 wamewatakia kifo na 33 wametoa pole
2. AZAM TV waliochangia hadi sasa ni 161, kati yao 157 wamewatakia wabunge kifo na 4 wametoa pole
3. KITENGE, waliochangia hadi sasa ni 77, wote wamewatakia kifo wabunge.
4. EATV, waliochangia 36, 1 ameonyesha huruma na 35 wamewatakia wabunge kifo.
Hii nimeikuta mahali. Je hao nao ni wana JF??
Wanaochukiwa sio wabunge tu, kwasasa hata Mwenyekiti wa mtaa aliyepita ki magumashi atakuwa na wakati mgumu sana kuongoza wananchi wenye hasira.View attachment 3170961
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.
Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?
Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?
Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?
Nne, chama chao nacho kinasemaje?
Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea yasikuwa mazuri anajitafakarije kwa hali hii?
Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchaguzi ujao?
Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?
Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?
Naomba kuwasilisha
Mbona wabunge wa chama cha Rais Korea Kusini wameungana na wapinzani kupiga kura ya kuondoa amri ya utawala wa kijeshi iliyowekwa na Rais wao??Wabunge wa CCM ni hovyo.
Lakini uhalisia ni kwamba wabunge sio independent people, lazima wawe in toe na party lines.
Kuna hoja za majimboni kwao wanaruhusiwa kujiachia, kuna maamuzi ya serikali wabunge wa chama tawala wanatakiwa kuyabariki.
Ndio maana House of Representatives zote duniani zina (whips) wa chama ndani ya house/s of representatives kuhakikisha wawakilishi wao wanakuwa in toe na maamuzi ya serikali yale ambayo serikali inataka yapite.
Bunge for the most part ni kiini macho sio Tanzania tu, hizo ni taratibu za siasa duniani.
Yes, now and then you get rebels kama Mpina ndani ya vyama tawala but that’s not the majority.
Lakini kuwalaumu wabunge for the most part ni kuwakosea, sidhani kama kuna bunge duniani lina wabunge wote wa serikali wanakubaliana na kila kitu wanachopigia kura za ndio, isipokuwa wanatakiwa kufanya hivyo (that’s how party politics works).
Mungu awape nafuu majeraha
Inadidi kuwe na mada ya kuelimishana kuhusu siasa, maana majibu mengine sio rahisi.Mbona wa bunge wa chama cha Rais Korea Kusini wameungana na wapinzani kupiga kura ya kuondoa amri ya utawala wa kijeshi iliyowekwa na Rais wao??
mie naona mwenye chuki binafsi ni wewe pekeyako tu gentleman, nadhani ni kwasabb umeambatana na ushirikiana kwa muda mrefu sana 🐒View attachment 3170961
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.
Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?
Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?
Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?
Nne, chama chao nacho kinasemaje?
Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea yasikuwa mazuri anajitafakarije kwa hali hii?
Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchaguzi ujao?
Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?
Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?
Naomba kuwasilisha
Toka hapa, umeulimishe nani siasa wewe mfuasi mtiifu wa jiwe na chama tawalaInadidi kuwe na mada ya kuelimishana kuhusu siasa, maana majibu mengine sio rahisi.
Siasa sio somo la kukariri.
Siasa ni science and it requires objectivity in discussion.Toka hapa, umeulimishe nani siasa wewe mfuasi mtiifu wa jiwe na chama tawala
Sayansi ya nyoko labdaSiasa ni science
HakunaIvii najiulizaa,tusipokuwa na hawa wabunge kuna hasara yoyote tutaipata kama Taifa?.
Waambie CCM waache kuwachukia Chadema, pamoja na kujenga bunge la chama kimoja hali ya nchi ni hoi.Kuwachukia ni ujinga na inaonekana tulivyo wajinga, na hakuna changes ilio wahi letwa kwa kichukia watu. Kikichopo ni kuwa fight na sio kuwachukia