Kwanini wananchi wengi wanawachukia wabunge hivi?

Kwanini wananchi wengi wanawachukia wabunge hivi?

Wabunge wa CCM ni hovyo.

Lakini uhalisia ni kwamba wabunge sio independent people, lazima wawe in toe na party lines.

Kuna hoja za majimboni kwao wanaruhusiwa kujiachia, kuna maamuzi ya serikali wabunge wa chama tawala wanatakiwa kuyabariki.

Ndio maana House of Representatives zote duniani zina (whips) wa chama ndani ya house/s of representatives kuhakikisha wawakilishi wao wanakuwa in toe na maamuzi ya serikali yale ambayo serikali inataka yapite.

Bunge for the most part ni kiini macho sio Tanzania tu, hizo ni taratibu za siasa duniani.

Yes, now and then you get rebels kama Mpina ndani ya vyama tawala but that’s not the majority.

Lakini kuwalaumu wabunge for the most part ni kuwakosea, sidhani kama kuna bunge duniani lina wabunge wote wa serikali wanakubaliana na kila kitu wanachopigia kura za ndio, isipokuwa wanatakiwa kufanya hivyo (that’s how party politics works).

Mungu awape nafuu majeraha
On the face of it, and simplistically you seem to be right..., without going into the nitty gritty of how that works.

Yes. Trump Won. Now what!
 
Bunge for the most part ni kiini macho sio Tanzania tu, hizo ni taratibu za siasa duniani.
A very misguided view about Bunge!
Unapo sikia mawaziri wakuu wa nchi kama Uingereza, Ufaransa au German wanajiuzuru, wewe unadhani wabunge huwa siyo chanzo cha hatua maamuzi kama hayo?
 
You can't be serious otherwise you are one of them if not their proxy and stooge.
Wait a minute. I am absolutely, definitely certain, that you're reading that post upside down!
Read the context, and the presentation that is being responded to, and to who that response is directed.
Come back, and give me the feedback; if not a deserving apology for your misquotation.
 
Wait a minute. I am absolutely, definitely certain, that you're reading that post upside down!
Read the context, and the presentation that is being responded to, and to who that response is directed.
Come back, and give me the feedback; if not a deserving apology for your misquotation.
What do you exactly want to put across? Reading your comment, I see nothing but lamentation and some attempts to argue without any argument or gist of understanding what I have posted my child. Can you jog my mind a wee bit so that I can educate you for free?
 
What do you exactly want to put across? Reading your comment, I see nothing but lamentation and some attempts to argue without any argument or gist of understanding what I have posted my child. Can you jog my mind a wee bit so that I can educate you for free?
Go back to the specific past, where you lifted that quote. First, identify to where that response was directed. You will find that it is a quote that was not in response to your opinion in the main discussion.
So, where or how do you associate it with what you have presented?
You're completely reading it backwards.

Now, if you really want me to take you seriously, that kind of jabbering language is not going to work.
 
Go back to the specific past, where you lifted that quote. First, identify to where that response was directed. You will find that it is a quote that was not in response to your opinion in the main discussion.
So, where or how do you associate it with what you have presented?
You're completely reading it backwards.

Now, if you really want me to take you seriously, that kind of jabbering language is not going to work.
Kind of jabbering what? I still can see how misinformed you are. Again, obviously showing how intellectual bankrupt you seem to be, let me rest my case here. Mea culpa, mea culpa.
 
Kind of jabbering what? I still can see how misinformed you are. Again, obviously showing how intellectual bankrupt you seem to be, let me rest my case here. Mea culpa, mea culpa.
Done with you.
 
Kwani wabunge wanapenda wananchi wao mkuu?
 
Nikajua unaleta habari za kufariki kwa wabunge wooote waliokuwa ndani ya bus lililopatwa na ajali kumbe blaablaa tu!

Anyway,watwaliwe tu maana kazi yao kuu ni kuuza bandari,ngorongoro na kule Loliondo na kupitisha pesheni sijui naposho kwa wenza sijui wa akina tulia na hawana kingine cha kufanya.
 
Wabinafsi kila kitu wao huku wengine tukikandamizwa na kufa njaa wakati wao ni kujilimbikizia mali bwetebwete
 
Usipende kuhalalisha Mambo yako kwa hisia zako. Umeenda kwenye mitandao mingine ukakuta hali ni tofauti??

COMMENTS ZA WANANCHI KTK MITANDAO BAADA YA WABUNGE KUPATA AJARI:

1. TBC waliochangia mpaka sasa ni 539, kati yao 506 wamewatakia kifo na 33 wametoa pole
2. AZAM TV waliochangia hadi sasa ni 161, kati yao 157 wamewatakia wabunge kifo na 4 wametoa pole
3. KITENGE, waliochangia hadi sasa ni 77, wote wamewatakia kifo wabunge.
4. EATV, waliochangia 36, 1 ameonyesha huruma na 35 wamewatakia wabunge kifo.
Hii nimeikuta mahali. Je hao nao ni wana JF??
Haaaa haaaa nimejikuta nacheka tu.
 
A very misguided view about Bunge!
Unapo sikia mawaziri wakuu wa nchi kama Uingereza, Ufaransa au German wanajiuzuru, wewe unadhani wabunge huwa siyo chanzo cha hatua maamuzi kama hayo?
Hao watu unaowaongelea maamuzi yao ni kutokana government decision au poor supervision ya government.

Wanaingia bungeni na wenyewe ni wabunge; Iła nafasi zao ni za kiserikali. Wanawajibika kama sehemu ya serikali lakini si kwa sababu ya ubunge.

Ndio maana hata wanapojiuzulu nafasi za serikali bado wanabaki kuwa wabunge.

Ni kama Ndugai
 
On the face of it, and simplistically you seem to be right..., without going into the nitty gritty of how that works.

Yes. Trump Won. Now what!
Hili ni jibu la vyombo kukolea, hakuna sehemu nilipomtaja Trump.

Nilichozungumzia ni mantiki ya siasa za ‘whipping’ na kwanini house of representatives zinakuwa na chief whips; sio US specifically bali duniani. Hata wabunge ni representatives and they are managed.

Sasa kuwalaumu wabunge kwa maamuzi ya serikali ambayo ni unpopular ni kuwaonea maana mengine wanalazimishwa kuunga mkono (that’s how part politics work) adhabu yao ni kutowachagua kipindi kijcho na chama (thats what democracy is all about) lakini kusherekea ajali zao huko ni kukosa utu.

Learn politics
 
Back
Top Bottom