Kwanini wananchi wengi wanawachukia wabunge hivi?

Kwanini wananchi wengi wanawachukia wabunge hivi?

View attachment 3170961
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.

Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?

Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?

Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?

Nne, chama chao nacho kinasemaje?

Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea yasikuwa mazuri anajitafakarije kwa hali hii?

Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchaguzi ujao?

Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?

Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?

Naomba kuwasilisha
Tupe sababu za kuwapenda basi.

Hao ni mzigo kwa jamii. Wapo pale kwa maslahi ya CCM
 
View attachment 3170961
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.

Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?

Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?

Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?

Nne, chama chao nacho kinasemaje?

Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea yasikuwa mazuri anajitafakarije kwa hali hii?

Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchaguzi ujao?

Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?

Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?

Naomba kuwasilisha
Majibu ya maswali yako naomba ukipata fursa yafikishe kwao wakupatie majibu.Ukifanikiwa kutupatia mrejesho humu utabarikiwa kweli kweli.
 
Pamoja na zile kura za bao la mkono la Nape wapiga kura wengi siyo watu wa mitandaoni.
Uhalisia angalia idadi ya watu waliochangia mitandaoni linganisha na raia wote nchi nzima.
Nyie ndio akina Luca wasimamizi wasaidizi waenguaji.
 
Pamoja na zile kura za bao la mkono la Nape wapiga kura wengi siyo watu wa mitandaoni.
Uhalisia angalia idadi ya watu waliochangia mitandaoni linganisha na raia wote nchi nzima.
Hatuna uhakika kura zimepugwa vipi kwa kuwa tume ya uchaguzi ni part and parcel ya uozo.
Hizi comments za mitandaoni ndiyo tunazochukua kama random sample ya uhalisia uliopo kwa kuwa tunajionea with our own naked eyes.
 
Nyie ndio akina Luca wasimamizi wasaidizi waenguaji.
Usiweke hisia mbele unaposoma maelezo tofauti na mawazo yako.
Mimi sikushabikia upande wowote I just said the obvious thing.
Unaweza kukuta hukujiandikisha wala kupiga kura.
Wengi tulio humu tupo mjini na hatuweki juhudi kupiga kura, tupo na kelele nyingi mitandaoni na vijiweni mtaani.
Wazee na wamama ndio hupiga kura. Vjijini huko vijana pia hupigia kura CCM. Ukiongeza bao la mkono ni vile CCM wanashinda. Upinzani inabidi wafanye mpango mkakati wapate kura za vjijini na wazee.
 
Wabunge wameacha kuitetea Nchi na Wananchi badala yake wanatetea tu matumbo yao.
 
View attachment 3170961
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.

Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?

Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?

Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?

Nne, chama chao nacho kinasemaje?

Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea yasikuwa mazuri anajitafakarije kwa hali hii?

Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchaguzi ujao?

Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?

Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?

Naomba kuwasilisha
Hata walipokuwemo wabunge wa Chadema pia tuliwachukia. Wote ni wale wale tu!
 
View attachment 3170961
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.

Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?

Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?

Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?

Nne, chama chao nacho kinasemaje?

Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea yasikuwa mazuri anajitafakarije kwa hali hii?

Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchaguzi ujao?

Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?

Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?

Naomba kuwasilisha
Tuanze na ww.. unawapenda?!
Alafu turudi kwa hao wananchi.
 
Back
Top Bottom