Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
Lengo la kufanya hivyo na wao wale hicho kitoweo maana mtu mwingine akichinja huwa wanakataa. Kwa kuwa wakristo ni wakarimu huwa hawataki ndugu zao wasile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanze hapoWao wameruhusiwa na nani,, na wewe umekatazwa na nani??!
Kuna siku katika mji fulani mnyama kiboko aliingia mtaani ikabidi mtu wa wanyapori aitwe akampige risasi, hilo lilipofanyika umati wa watu ulifurika kugawana nyama na hakuna aliyetaka kuuliza mchinjaji nani🙂Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Mimi ni MKRISTO na nimekuwa nikichinja mwenyewe kitoweo changu, iwe Mbuzi au Kuku na sijawahi kuita Mwislamu aje anichinjie.Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Rastafarian na nyama wapi na wapiKwanini hukutoa mfano kwa dini ya marasta? Huo ni uchonganishi.
KuJAMIIANA sio?Wakristo ni watu wepesi kujamiiana na watu wengine sio kwamba hawawezi kuchinja ila waislamu wana kasumba ya kutokula kilichochinjwa na watu wenye imani nyingine.
Kwahiyo wakristo wanawaita waislamu ili akikaribishwa isilete shida ndio maana machinjio yote wapo waislamu na wakristo wamekubaliana na hali hiyo ili kutoleta migogori isiyo sababu.
Mimi kama hotel sio ya muislam naagiza fish tuKwani hivi Vidari wanavyokula migahawani wanajua vimechinjwa na akina nani....???
Afu wakija huchinja kwa jina la nani? Wanamkabidhi Mungu yupi huyo mnyama wako?Wakristo ni watu wepesi kujamiiana na watu wengine sio kwamba hawawezi kuchinja ila waislamu wana kasumba ya kutokula kilichochinjwa na watu wenye imani nyingine.
Kwahiyo wakristo wanawaita waislamu ili akikaribishwa isilete shida ndio maana machinjio yote wapo waislamu na wakristo wamekubaliana na hali hiyo ili kutoleta migogori isiyo sababu.
Kukiwa na ulazima wakristo sio wabishi huwapa waislamu wachinje lakini nao wanaweza kuchinja kawaida tu.Afu wakija huchinja kwa jina la nani? Wanamkabidhi Mungu yupi huyo mnyama wako?
Jamiiana ni interaction kwa kimombo.KuJAMIIANA sio?
Hao wanawapelekea ni wajinga wachache na labda pia in waoga was kuchinja... Binafsi huwa nachinja mwenyewe na hata tangu nipo mdogo mama alikuwa akichinja.Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Ktk huo uungwana wao hukuletea nawe mgalatia uchinjeNi katika kuwa waungwana.
Mkuu umenena vyema. Kuna imani zingine kuchinja ni ibada na imani zingine sio ibada ili mradi nyama iwepo. Sasa katika hali ya uungwana, kuna ubaya gani kuwakubalia wengine kuchinja na sie wengine tukala nyama zetu kwa uzuri tu?Ni katika kuwa waungwana.
Nyie mnakula vibudu.Hao wanawapelekea ni wajinga wachache na labda pia in waoga was kuchinja... Binafsi huwa nachinja mwenyewe na hata tangu nipo mdogo mama alikuwa akichinja.