Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
- Thread starter
- #61
Labda wanaufahamu wa kwamba wakichinja wao kichinjo hakitakuwa halali,yaani kitakuwa kibuduUngewauliza hao wanaopeleka vitoweo vyao kwa waislamu ili wachinjiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wanaufahamu wa kwamba wakichinja wao kichinjo hakitakuwa halali,yaani kitakuwa kibuduUngewauliza hao wanaopeleka vitoweo vyao kwa waislamu ili wachinjiwe.
Hizi taarifa huwa unazitaka kipindi Rais Akiwa Muislam tu eenh? Kipindi cha mwendazake ulikuwa kimyaa? Acha kujifichaficha na ajenda zako na waliokutuma mkuu, (jamba usikike, kujibanabana utaumia tumbo).Hapana ndugu yangu tunapeana elimu na maarifa,ili watu wajue nani anaruksa ya kuchinja na ni kwa nini anachinja
Wao wameruhusiwa na Mwenyezi Mungu,Muisilamu akichinja kunautaratibu wake na sheria zake,sizana kama Dini zingine zinamafundisho hayoWao wameruhusiwa na nani, na wewe umekatazwa na nani?
Mwendazake mwenyewe alikuwa anakula vilivyochinjwa na WaisilamuHizi taarifa huwa unazitaka kipindi Rais Akiwa Muislam tu eenh? Kipindi cha mwendazake ulikuwa kimyaa? Acha kujifichaficha na ajenda zako na waliokutuma mkuu, (jamba usikike, kujibanabana utaumia tumbo).
Huo ni utaratibu uliowekwa na selikali kwa kufuata utamaduni wa Dini ya kiisilamuKwani nani anatoa kibali cha kuchinja?
Lakini unajua wanachoongeaga wakati wanachinja? Kuna siku nimeenda sokoni eti wachinjaji hawapo nikamwanbia wewe hauwezi ? Eti mie Mkristo haaa nikamwanbia acha kunipotezea muda chinja unipe niondoke zanguKama kuna Waislamu kwenye nyumba yako na unategemea watakula basi kiungwana unawapa wachinje. Ila kama hujali unajichinjia mwenyewe tuu
Hayo ni makubaliano na mchinjaji lakini hakuna sharti la kumchaji unayemchinjia na inategemeana na ukubwa wa mnyama,mfano umeniita nikuchinjie mbuzi au ng'ombe lazima nitakuchargeUkichinja unapewa miguu, kichwa na utumbo na ka 500 kwanini nyumbani wasile nyama kila siku!
Ulikula kibudu pole sanaLakini unajua wanachoongeaga wakuwa wanachinja? Kuna siku nimeenda sokoni eti wachinjaji hawapo nikamwanbia wewe hauwezi ? Eti mie Mkristo haaa nikamwanbia acha kunipotezea muda chinja unipe niondoke zangu
Eti jamani nikahangaike mtaani na kuku ni wangu?Wanaofanya hivyo watakuwa akili hawana,kitoweo chako mwenyewe ukachinjiwe au unaogopa damu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati wenzetu wanataka kupeleka binadamu huko Mars, Sisi tunahoji nani ana uhalali wa kuchinja?! Nigga?!
Muisilamu aliyeshika Dini hali nyama ovyoovyo,sababu hamjui aliyechinja,ili kuepukana na kuulizauliza ni heri akawa unatumia samaki,mbogamboga na vingineKwani hivi Vidari wanavyokula migahawani wanajua vimechinjwa na akina nani....???
Apite aende wapifunika kombe mwanaharamu apite
Yaani hao wanyama siyo sisi ndiyo tuliyowaumba kwa hiyo tunapotaka kuwafanya kitoweo lazima tuombe idhini kwa aliyowaumbaEti jamani nikahangaike mtaani na kuku ni wangu?
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kujiendekeza tu,
Na nguruwe huwa anachinja nani? Huwa mnawapelekea?
Marasta hawali nyama sababu ya Upendo waliokuwa nao kwa wanyama,yaani anaona kwamba atatoaje uhai wa kitu kwa ajili ya tamaa zake na akakatisha kizazi cha yule mnyama,ndiyo maana badala ya kula nyama ya n'gombe wanakunywa maziwaKwanini hukutoa mfano kwa dini ya marasta? Huo ni uchonganishi.
Huyo Mwenyezi Mungu amekataza ni haramu,kuanzia nyama yake mpaka mavi yake inamaana hata mbole ya nguruwe kwa Muisilamu ni haramu,lakini siyo kwamba tukimuona tumpige,hapana ana haki zake kwani ni kiumbe wa Mwenyezi MunguHapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa unakula vibuduMimi ni MKRISTO na nimekuwa nikichinja mwenyewe kitoweo changu, iwe Mbuzi au Kuku na sijawahi kuita Mwislamu aje anichinjie.
Kwani ananyonga ? Kwani kabla ya uislamu wakristo hawakuwa wanakula nyama? Kijijini kwetu kulikuwa na familia moja tu ya waislamu na sijui walitokeaga wapi? Nani awafuate wakachinje ha ha ha , tena kama wafugaji walikuwa wakijichinjia huko porini kwao!Ulikula kibudu pole sana