Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
- Thread starter
- #81
Sema wakristo hawana elimu ya kuchinjaSi kwamba Wakristo awaruhusiwi kuchinja, Waislamu awali nyama isiyotamkiwa maneno ya kuchinja, Wakristo hawana shida wao wanaamini
wapo salama kupitia kuombea chakula. but kibiashara imeshaurika achinje Muislamu Ili pasiwepo na kisingizio cha kutokula.
Hata mfumo wa uchinjaji kwa kutumia mashine umetengenezwa ni automatic unamuelekeza mnyama uelekeo wa Kaskazini na pia kisu kimeandikwa maneno ya kuchinja.