Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
- Thread starter
- #101
Kila kichanga huzaliwa kikiwa kiisilamu,ndiyo maana Waisilamu hawabatizwi,na ana anza kuhesabiwa dhambi pindi anapobarehe au kuvunja uongoHawa jamaa bhana kuanzia uchinjaji,uvaaji,,lugha na vyakula mfano alkasusi vyote ni utambulisho wao halafu wanadai kila mtu alizaliwa muislamu yaani ni usanii uliopitiliza!tuwaachie tu wachinje wasife njaa.