Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Uroho tu wa vichwa na miguu pia ni njia ya kuwapa waislam rizki ukienda ulaya utakula tu vibudu
Kuna tatizo lipi ikiwa mwenye nyama ataamua kuwapa waliomchinjia?

Huoni kuwa ni jema sana hilo?
 
Mbona mimi mbuzi na kuku wangu nachinja mwenyewe...

Unakula ww unataka uwapelekee wengine wachinje?
 
Huwa unakula vibudu
Aisee imani zinawadanganya watu..., watu wengine na uzee huu basi tungekufa maana tunachinja wenyewe na tunakula na nyama inakua tamu saana hivyo vibudu sijui ndo vinini...
 
Naam, sasa waambie basi wasiwape Wakristo wanojielewa wasiwape mifugo yao Waislam kuwachinjia kama dini yako inakufundisha usimsaidie mwenye njaa, utakuwa unamfata shetani. Au?
 
Mungu muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo HANA DINI!

Kwa sababu Mwanadamu amejawa Ujinga na chochote kinachoongozwa na mwanadamu lazima kiwi TARNISHED na ujinga.
 
Iko hivi kuna Uisilamu na Muisilamu,Uisilamu unabaki kama Dini isiyokuwa na Mapungufu,lakini huyu Muisilamu anamapungufu yake na sisi haturuhusiwi kumuhukumu ipo siku atamludia Mola wake akafanya toba,na sisi hatujui kesho yetu itakuwaje,tunaweza kuwa wakosefu zaidi yake
Hakuna muislam anaedumisha sala halafu anakula nguruwe!

Muislam huyo HAYUPO!!
 
Huwa mnakana maneno yenu wenyewe. Kutwa kutamba mtume alishushiwa vitabu vitakatifu mara aliandika mafunza haya au yale hapo hapo mnakuja kujikweza kuwa dini ilikuwepo miaka mingi

Mnamfata mtume ndo maana watu wakichora katuni au kumtaja mnavyoona sivyo mnawaua

Daima siwezi kufatilia mafunzo ya dini nisiyoiamini

Kuna dini nyingi mno ila nyie kiboko cha kujikweza tembea uone mkuu usikalie kupigana na ukristo wakati kuna uyahudi,budha etc

Yesu mnayemsakama ndo huyo anawaendeshea kalenda mnazozifuata kila siku
Si kweli kuwa Uislam una miaka hiyo uliyoitaja. Unajichanganya mwaka aliyokuja Mtume wa mwisho Muhammad Sallah Allahu Alayhi Wasalaam, aliyepewa kitabu cha mwishpo ambacho ni Qur'an na Uislam.

Mitume wote wa kabla ya Muhammad wameuhubiri na kuufundisha Uislam kabla sana ya Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam.

Nakushauri kwanza uelewe ni nini maana ya Uislam, na ni nini kuwa Muislaam.

Uislam ndiyo dini pekee, duniani leo hii, ambayo wafuasi wake, Waislam, hawafati mtu na wanafata na kujisaimisha kwa Mwenyezi Mungu pekee, asiyezaa wala kuzaliwa.
 
Wakristo ni watu wepesi kujamiiana na watu wengine sio kwamba hawawezi kuchinja ila waislamu wana kasumba ya kutokula kilichochinjwa na watu wenye imani nyingine.

Kwahiyo wakristo wanawaita waislamu ili akikaribishwa isilete shida ndio maana machinjio yote wapo waislamu na wakristo wamekubaliana na hali hiyo ili kutoleta migogori isiyo sababu.
Sahihisho mkuu.Rekebisha KuJAMIIANA na watu wengine labda iwe kuJUMUIKA na watu wengine.....
 
Jamiiana ni interaction kwa kimombo.
Japo lina ukakasi kidogo ila hiyo ndiyo maana msingi.
iNTERACTION = Kuchangamana = kuendana na..= Kutokujibagua= kujichanganya katika makundi tafauti..
KUJAMIIANA = Njia ya kuzaliana(Kuzalishana) = Tendo la Kuongeza idadi na aina ya viumbe wa aina moja katika Jamii mahalia.
 
Hakuna muislam anaedumisha sala halafu anakula nguruwe!

Muislam huyo HAYUPO!!
Ndiyo maana tukasema hatuna uwezo sisi wa kumuhukumu mojakwamoja atajuana na Muumba wake aliyemuumba,kumbuka zambi kubwa kabisa katika Uisilamu ni shiriki ikifuatiwa na kuuwa
 
Sahihisho mkuu.Rekebisha KuJAMIIANA na watu wengine labda iwe kuJUMUIKA na watu wengine.....
Sawa ngoja nirekebishe,
Ila hiyo ni maana halisi ya neno interaction ila huwa ina visawe vinginevyo lakini huwa na ukakasi kwa baadhi ya watu.
 
Mtoa mada mbona hajibu maswali!!
Tunaposema tumeruhusiwa,maana yake tumepewa utaratibu mzima wa kuchinja na sheria zake,toka kipindi cha baba yetu Adamu,sasa sijui upande wa pili wanapochinja wanautaratibu gani,au wanajichinjia tu
 
Aisee imani zinawadanganya watu..., watu wengine na uzee huu basi tungekufa maana tunachinja wenyewe na tunakula na nyama inakua tamu saana hivyo vibudu sijui ndo vinini...
Uisilamu haujaacha kitu,labda tukusaidie kunachakula cha halali,ambacho chuma yake ni ya uhalali,inamaana wewe muhusika umefanya kazi ya halali ukapato pato la halali na ukanunua chakula,na kinyume chake umezulumu,umetapeli au umeiba au aliyekupa hicho chakula ni mshirikina kinageuka kuwa siyo cha halali.

Kibudu ni kitu kilichochinja bila kutaja jina la Mwenyezi Mungu,hutadhulika kwa macho yako unavyoona lakini mtakuta na Mungu wako,maana alichokataza Mwenyezi Mungu wewe huwezi kualamisha
 
Naam, sasa waambie basi wasiwape Wakristo wanojielewa wasiwape mifugo yao Waislam kuwachinjia kama dini yako inakufundisha usimsaidie mwenye njaa, utakuwa unamfata shetani. Au?
Mimi ni Mkristo ninaye jielewa! Siku zote nachinja mwenyewe. Hivyo ule utaratibu wa kumuachia mtu shingo, kichwa na miguu! Haupo. Vyote tunakula wenyewe.
 
Back
Top Bottom