Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
- Thread starter
- #161
Siyo kuchinja tu,hata kuzikanaNdio wanachinja kuku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kuchinja tu,hata kuzikanaNdio wanachinja kuku.
Viongozi wako wa Dini wanapotaka kufanya Shughuli yoyote itakayowakutanisha watu tofautitofauti kama watataka kuchinja ,,,,,,,,,,,,, utamalizia mwenyeweNaunga mkono msimamo wako. Imekaa poa. 🙏
Kama mdau mmoja alivyobainisha hapo juu, ili kuepusha makwazo kwa imani za wengine huwa mnyama aliyekusudiwa hupelekwa machinjioni huko na kitoweo (nyama mbichi) inaletwa kwenye eneo la shughuli ili kuandaliwa. Hakuna anayekaribishwa kuchinja.Viongozi wako wa Dini wanapotaka kufanya Shughuli yoyote itakayowakutanisha watu tofautitofauti kama watataka kuchinja ,,,,,,,,,,,,, utamalizia mwenyewe
Kiungwana kabisa, Mwislamu ndio karuhusiwa kuchinja. Na sie wa dini zingine kiungwana kabisa tuliridhia.Ni yupi asiyeruhusiwa na yupi karuhusiwa, hebu kuwa wazi?
Najisi inaonekana kama dhambi kubwa ila uzinzi inaonekana kama najisi. Achaneni na hao wanafkiWakristo ni watu watulivu sana, Ingekuwa wale wa upande wa muddy wasingekubaliana na icho kitu.
Mkristo anaruhusiwa kuchinja lakini tunawaita Waislamu wachinje kwa sababu ndugu zetu hao ni watata ukichinja wewe wanaweza kukuachia nyama wale mchichaUtakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Sawa tu..kuendekeza ujinga ndio kitu sijawahi fanya.Mkristo anaruhusiwa kuchinja lakini tunawaita Waislamu wachinje kwa sababu ndugu zetu hao ni watata ukichinja wewe wanaweza kukuachia nyama wale mchicha
Acha uongo nani alisema lazima awe muislam? Tunaishi karibu na mbuga ya wanyama KATAVI Huwa mnyama akiingia kijijini maaskari wanapiga risasi tu.Tena wanakuwa wengi wengine akina John kibao tu na wote tunagombania nyama waislamu Kwa wakristu fresh tuHuo uchinja wa mnyama kama huyo kunataratibu zake,kwanza anayempiga risasi lazima awe muisilamu na kabra ya kupiga kuna maneno ya kusema,hapo hawezi kuwa kibudu
kibudu
Unawaambiaga kinaNdiyo maana tunawaambiaga Uisilamu kaanza nao Baba yetu Adamu kila kitu alipewa utaratibu na Mwenyezi Mungu,kuanzia kutembe,kulala,kujisaidia,kula kujamiana.kila kitu sema mitume kazi yao ni kutukumbusha pale tunaposahau
Hiyo ni Kwa mujibu wa Imani yako na usizoee kuwambia watu walizaliwa waislamu wengine hawapendi.Unachokiamini wewe sio anachoamini mwenzako.Kila kichanga huzaliwa kikiwa kiisilamu,ndiyo maana Waisilamu hawabatizwi,na ana anza kuhesabiwa dhambi pindi anapobarehe au kuvunja uongo
Ni ujinga na umaskini wenzetu wanakimbilia mars sisi tunalilia hakinya kuchinja mbuzi..afika afrika tuAhahahaha. Kwa utamaduni wetu sisi Watanzania, mnyama yeyote akichinjwa na mtu yeyote "asiye na ruhusa maalum ya kuchinja" au mnyama aliyechinjwa baada ya kufariki nyama yake inaitwa kibudu.
Huko machinjoni huwa wanawapelekea kina nani waliopewa dhamana ya kuchinja?Kama mdau mmoja alivyobainisha hapo juu, ili kuepusha makwazo kwa imani za wengine huwa mnyama aliyekusudiwa hupelekwa machinjioni huko na kitoweo (nyama mbichi) inaletwa kwenye eneo la shughuli ili kuandaliwa. Hakuna anayekaribishwa kuchinja.
Mwislamu alioidhinishwa kwa kazi hiyo. i.e. sio kila mwislamu.Huko machinjoni huwa wanawapelekea kina nani waliopewa dhamana ya kuchinja?
Heeee,kafa halafu anasikia kila kitu hivi nyie mna akili kweli?Ni kweli kumuhasi Mwenyezi Mungu wako kuna dhambi na madhala au kuna dhambi peke yake,mfano zina,watu wanapata dhambi na malazi kama ukimwi n.k.
Pombe, nazani ni shahidi mwenyewe jinsi pombe zilivyowaharibia watu maisha tofauti na faida.Kula kibudu kumejikita kwenye dhambi
Yaani hata waliompinga Nuhu,Ibrahimu,Musa,Yesu pamoja na Mtume muhamad(S.A.W) walitumia hoja kama zako,kwa kukupa faida mtu huwa anasikia kila kitu akifa,na ndiyo ambapo huwa anaujua ukweli,lakini kusema aludi akafuate ukweli huwa anaambiwa mda wako umekwisha.Usipobadilika sasa hivi utakuja kutana na hiyo hari.Sababu kila nafsi itaonja mauti
Mkapa alipowapa uwanja pale morogoro wajenge chuo kikuu walidai eti Gaddaf alimfosi kwa kuwa alikuwa anadaiwa!Hawa mungu wao ana matatizo si bure.Wakristo ni watu watulivu sana, Ingekuwa wale wa upande wa muddy wasingekubaliana na icho kitu.
kuna maswali mengine ni kuleta kutoelewana kwa watu wa imani hizi. ni sawa mwingine akiuliza kwanini ijumaa watu wanqaendelea na kazi wakati ni siku ya kwenda kusali badala jumapili wakristo ndiyo wamependelewa kupumzika siku hiyi kwa kuwa wao ndiyo siku yao kwenda sali. Hebu tuachane na mambo ya kuchokonoa ishu za kiimani mwisho wake siyo mzuri. Hizi tamaduni za kuishi pamoja na kutogombana tusianze ziharibu zitatuletea matatizo makubwa. Maana hata kodi kubwa wanaolipa ni wafanyabiashara wa kiislamu lakini hujasikia wakilalamika kuwa mbona madawa ya nguruwe yananunuliwa kwa kodi zao.Ukichinja unapewa miguu, kichwa na utumbo na ka 500 kwanini nyumbani wasile nyama kila siku!
Elimu ya Dini na elimu ya darasani ni vitu viwili tofauti,Heeee,kafa halafu anasikia kila kitu hivi nyie mna akili kweli?
Na sio kila Muisilamu anachinja,lazima uwe na hiyo Elimu.Mimi mwenyewe nilikuwa mkristo na nilikuwa nachinja kabla,lakini kulikuwa na makosa makubwa ya uchinjajiMwislamu alioidhinishwa kwa kazi hiyo. i.e. sio kila mwislamu.