Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Ni wapumbavu pekee ndio hubeba mifugo yao waliyoifuga au kununua kwa fedha zao ikachinjwe na jirani mwenye imani nyingine
 
Duh hivi mtu unaanzaje hata kugombania kuchinja mnyama? Huo ukatili wote ni wa kuugombania ? Si ukae tu ule nyama na waache wachinje ? Mimi kwangu kwanza hata wangekataza na kunyonyoa pia ili kuchinja na kunyoyoa iwe kwao tu ingekuwa poa sana!
Hata kuku siwez kumchinja namwonea huruma sana
 
Kuna siku katika mji fulani mnyama kiboko aliingia mtaani ikabidi mtu wa wanyapori aitwe akampige risasi, hilo lilipofanyika umati wa watu ulifurika kugawana nyama na hakuna aliyetaka kuuliza mchinjaji nani🙂
Yawezekana kwao kiboko sio mnyama bali yuko kundi la samaki fuatilia vizuri
 
Waislam kuchinja ni Ibada hivyo imani inawafunga. Wakristo ni neutral kwenye hilo. So inapotokea kitoweo kitakusudiwa kuliwa na wote ndiyo wanaachiwa waislam kuchinjwa but kama hakiusishi basi wakristo hujichinjia fresh tu.
Swali hivi kiafrika mwanamke kama mama yeyoo anachinja?
 
Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?

sio kwamba haturuhusiwi bali ili ilaji uwe na coverage kubwa, sisi ni wakarimu sasa unakuta chakula kimeiva na unapata mgeni mwislamu kweli sasa asiweze kula jamani kisa kuchinja tu, ndio maana kwenye jamii ya mchanganyiko tunaona achinje tubmuislamu
 
Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Wewe jichinjie uone km kuna mtu atakuuliza!
 
Kwa sababu mkristo akichinja muislam Hali ila muislam akichinja mkristo anakula bila shida ivyo sio Mbaya muislam kuchinja mana mkristo Hamaind
 
Basi tuludi kwenye uhalisia,na hao wakristu wanaochinja,je wanapochinja wanachinja kwa utaratibu upi? Yaani kwa muongoz
Wewe jichinjie uone km kuna mtu atakuuliza!
Kwani kuchinja kunasheria au unachinja tu
 
sio kwamba haturuhusiwi bali ili ilaji uwe na coverage kubwa, sisi ni wakarimu sasa unakuta chakula kimeiva na unapata mgeni mwislamu kweli sasa asiweze kula jamani kisa kuchinja tu, ndio maana kwenye jamii ya mchanganyiko tunaona achinje tubmuislamu
Sasa tukuulize wewe ukipewa nafasi ya kuchinja unachinjaje?au yapi masharti ya kuchinja
 
Mpaka dakika hii ya 67
Wakristo wanaongoza kwa goal 4-0 dhidi ya waislam.hususani kwenye agenda ya upendo,uvumilimu
Tuendelee
Labda tukuulize wewe mwenzetu,mkristo akakalibishwa mahari akapewa nafasi ya kuchinja mfano mwenyewe utaanzaje?ukijibu swali langu wakristo nawapa point 10
 
Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Mmeirudisha tena hii hoja baada ya kukwama kipindi cha Jk na sasa yupo mama. I smell something fishy
 
Kuna siku katika mji fulani mnyama kiboko aliingia mtaani ikabidi mtu wa wanyapori aitwe akampige risasi, hilo lilipofanyika umati wa watu ulifurika kugawana nyama na hakuna aliyetaka kuuliza mchinjaji nani🙂
Huo uchinja wa mnyama kama huyo kunataratibu zake,kwanza anayempiga risasi lazima awe muisilamu na kabra ya kupiga kuna maneno ya kusema,hapo hawezi kuwa kibudu
 
Mmeirudisha tena hii hoja baada ya kukwama kipindi cha Jk na sasa yupo mama. I smell something fishy
Hapana ndugu yangu tunapeana elimu na maarifa,ili watu wajue nani anaruksa ya kuchinja na ni kwa nini anachinja
 
Back
Top Bottom