Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Ahhhh miujiza mimi naweza kuwa wa mwisho kuiamini .yaani siamini mtu kichwa kigumu sijui hata sielewi.hauwezi kunishawishi kwa miujiza mimi,.kila kitu naona wanatumia mazigombwe .sijui nina nini mimi jaman.lakushangaza ila mimi naamini yangu hata kuomba niombage mimi mwenyewe
 
Hamna ukweli wowote wale wanapewa pesa kutoa ushuhuda na sio waislamu wale wengine wakristo wanatoka mikoani ile ni marketing level ambayo ni promotion kuwa makini wali serious na magonjwa wapo hospital aende

Kama una akili timamu unashindwa kutambua kitu kidogo kama icho
Jipe moyo..magari ya maeneo ya waislamu hasa mbagala hua yanajaza sana siku ya jpl kuelekea kwa mwamposa kufunguliwa toka kwenye vifungo vya majini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamwamin mtu anajiita nabii mwamposa we uliona wapi nabii akawa mnyakyusa subirin muda wa sadaka tu ufike hilo ndo lengo la yeye kupiga piga kelele
Hahaaa...umenikumbusha kauli za shehe ubwabwa..baada ya kuona wivu kua waumini wake wanaenda kuondolewa mapepo na majini kwa mwamposa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jipe moyo..magari ya maeneo ya waislamu hasa mbagala hua yanajaza sana siku ya jpl kuelekea kwa mwamposa kufunguliwa toka kwenye vifungo vya majini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna akili wewe unawajua waislamu hao sio waislamu kuwa smart yaani unadanganywa kifala kiasi icho

Waislamu wale wanaoend msikitini hao hao majina hata qur an yao hawaijui
 
Kama una uelewa wa Marketing and Sales huwezi shtuka. Ushuhuda wa mkristo hauna mvuto si ajabu wakapangiwa siku nyingine ila sio siku yenye hadhara kubwa. Ushuhuda wa mwislamu ndio unauza mahubiri.
Kumbe umeliona hilo
 
Kama una uelewa wa Marketing and Sales huwezi shtuka. Ushuhuda wa mkristo hauna mvuto si ajabu wakapangiwa siku nyingine ila sio siku yenye hadhara kubwa. Ushuhuda wa mwislamu ndio unauza mahubiri.
Umeongea vyema ndugu.
 
Hizo ni sinema kama zilivyo sinema nyingine,, na ili watu wapigwe inabidi anayeshuhudia basi ajinasibu kwa imani ya uislam ili watu wenye uelewa mdogo kama wewe muingie mkenge,,, ikiwa hili unaliamini basi bila shaka wewe hata yale mafuta yake ya upako na leso zake za upako utakuwa unaziamini
 
wanawake wana emotional sana kuliko wanaume pia wanawake wengi ndio wanaongoza kwenda kwa waganga kuhusu waislam uemtumia kigezo kujua inamaana unataka kuniambia wale wote wanaokwenda waislam ni wengi kuliko wakristo pia huenda njia ya kuvuta watu ili watu wakubali huyu jamaa ana nguvu l

Unajuaje kama ni Waislamu ?

Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
Kwani Uislamu haumtambui masiha? Wenye mafunzo ya kweli ya uislamu wanamtambuwa Masiha na ndiye anayehubiribiwa kwa Mwamposa ambaye wengi mnatambuwa kwa jina la Yesu na wengine wanamtambuwa kama Issa bin Mariam.

Kumbuka kwa Mwamposa siyo sehemu ya dini, ni huduma kwa dini zote, lile siyo kanisa ni ministry, kuna tofauti kati ya Kanisa ( Church) na huduma (Ministry)
Hayo ni maigizo ili watu wenye uwezo mdogo wa kuchanganua waende wakapigwe,In short hiyo ni biashara watu wanapangwa watoe shuhuda wasizoshuhudia na wanalipwa kwa hayo.
Si kweli, hata mimi zamani nilikuwa na mtazamo kama wako, nimemshuhudia mate wangu akipata uponyaji kwa Suguye.
Hamna ukweli wowote wale wanapewa pesa kutoa ushuhuda na sio waislamu wale wengine wakristo wanatoka mikoani ile ni marketing level ambayo ni promotion kuwa makini wali serious na magonjwa wapo hospital aende

Kama una akili timamu unashindwa kutambua kitu kidogo kama icho
Ukweli upo, ila ni jambo la kiimani zaidi na siyo jambo la over night.
 
Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa.ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia.Ukitaka kuliamini hilo,angalia ule mfano wa kwenye biblia.Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi???Kama sijakosea.Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.Tofauti sana na sisi wakristu
😅
 
Back
Top Bottom