Kwa Mwamposa kunahubiriwa Ushirikina.Kwani Uislamu haumtambui masiha? Wenye mafunzo ya kweli ya uislamu wanamtambuwa Masiha na ndiye anayehubiribiwa kwa Mwamposa ambaye wengi mnatambuwa kwa jina la Yesu na wengine wanamtambuwa kama Issa bin Mariam.
Masihi ni mja na ni mtume wa Allah tunamuamini na tuna mkubali.