Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
[emoji1787][emoji1787]Bwana Yesu asifiwe milele..hakika anazidi kuwafungua watu wake kutoka kwa minyororo ya shetani..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Bwana Yesu asifiwe milele..hakika anazidi kuwafungua watu wake kutoka kwa minyororo ya shetani..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana Choko na elimu yako unaamini yale yote unayoyaona ? Wenzako wote asilimia 90% wakupinge we ndio uko sahihi . Kuna msemo unasema "lisemwalo lipo kama halipo laja"Tabu ni pale unapinga wakati hujui kitu[emoji38][emoji38][emoji38] shuhudia hata kupitia tv tu ujionee mwenyewe na hata wangepangwa mbona watu kibao wanapona na wengine biashara zao zinafanikiwa nina ushahidi kabisa nilishuhudia watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dadekiiiMimi nina ushuhuda wa jirani yangu alienda hadi Muhimbili hakupona na ameponea kwa Mwamposa
"Kweli yesu ni jibu"Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Ina maana hujui ulicho uliza ?mbona povu maalim!!!
iman imefanyaje sasa!!!au kuandika hujui??
Acha fix bwanamdogoMimi nina ushuhuda wa jirani yangu alienda hadi Muhimbili hakupona na ameponea kwa Mwamposa
Wakati umebadilika sana,watumishi wote wanapenda hela,isipokuwa misingi ya makamisa yao inawanyima uhuru kamilitatizo gani mkuu??
maana Yesu alizurula kueneza injili,njiani akatenda miujiza.
hawa ndugu zetu kwa sasa wamekaa ktk mahekalu yao wanasubiri wagonjwa wawafate,na mahubiri ni kuhusu kufanikiwa kimaisha na mali.
Sio bwana mdogo,mimi nipo above 40 heshima tafadhaliAcha fix bwanamdogo
HayajakukutaKama una uelewa wa Marketing and Sales huwezi shtuka. Ushuhuda wa mkristo hauna mvuto si ajabu wakapangiwa siku nyingine ila sio siku yenye hadhara kubwa. Ushuhuda wa mwislamu ndio unauza mahubiri.
Ina maana hujui ulicho uliza ?
Mnaopinga nyote ni muslims but kwa mkristo anayejitambua hayupo kiivyo toka na mihemuko yako weweBwana Choko na elimu yako unaamini yale yote unayoyaona ? Wenzako wote asilimia 90% wakupinge we ndio uko sahihi . Kuna msemo unasema "lisemwalo lipo kama halipo laja"
Statistics never lie ..
Sikiliza Choko usikasirike unataka useme hawa wote waliokupinga ni musilm ?Mnaopinga nyote ni muslims but kwa mkristo anayejitambua hayupo kiivyo toka na mihemuko yako wewe
Sijakataa kuhusu huduma wanayoipata ila na huenda wanasaidika kwa uwezo wa Mungu. Mchungaji kusimamisha Muslim madhabau kwa ushuhuda inavutia zaidi hadhira kuliko akisimama Mkristo... Sijui tumeelewana!Hayajakukuta
Siku yakikukuta ndio utaamini kuwa wanaogopa au wana shida kweli
Sasa huwaoni kwani??!!au unauliza jibu???!!Sikiliza Choko usikasirike unataka useme hawa wote waliokupinga ni musilm ?
Mimi niko above 55 so we ni bwana mdogo tu.Sio bwana mdogo,mimi nipo above 40 heshima tafadhali
Mungu hana upendeleoNipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Kwahiyo na SURA nazo wanazibadilisha au? Maana TV yake iko STARTIMES na AZAM TV ina maana UKANDA wote wa Afrika Mashariki wanaangalia..Mkuu ile inaitwa Stage Managed, yaani Kwenye Mikutano ya Jamaa wale wabao toa shuhuda ni watu kutoka sehemu nyingine kabisa.
Kama yuko Singida watakao toa ushuhuda lazima awachukue Mwanza, au Arusha au kwingine,