Kwanini wanasiasa na watawala wa wenye imani ya kiislam wanatakiwa wawe waadilifu?

Kwanini wanasiasa na watawala wa wenye imani ya kiislam wanatakiwa wawe waadilifu?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Quran imewataka watawala kuwa waadilifu na kuwafanyia haki sawa kwa watu wote hata ikiwa mlengo wa kisiasa au kidini ni tofauti

Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi (wa kupitisha haki) kwa ajili ya allah, muwe mkitoa shahada (ushahidi) kwa uadilifu. Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutowafanyia uadilifu (insafu). Fanyeni uadilifu, huko ndiko kunakomkurubisha mtu na ucha mungu na mcheni allah, hakika allah anazo habari za (yote) mnayoyatenda.”[5:8]

Huu ndio uislam. Uislam ni dini ambayo kila mmoja amepewa haki yake
Imeendelea
HAKIKA ALLAH ANAKUAMRISHENI KUZIRUDISHA AMANA KWA WENYEWE (wanaozistahiki). NA MNAPOHUKUMU BAINA YA WATU MUHUKUMU KWA UADILIFU (haki) —“ [4:58]
 
Quran imewataka watawala kuwa waadilifu na kuwafanyia haki sawa kwa watu wote hata ikiwa mlengo wa kisiasa au kidini ni tofauti

ENYI MLIOAMINI! KUWENI WASIMAMIZI (Wa kupitisha haki) KWA AJILI YA ALLAH, MUWE MKITOA SHAHADA (ushahidi) KWA UADILIFU. WALA KUCHUKIANA NA WATU KUSIKUPELEKEENI KUTOWAFANYIA UADILIFU (insafu). FANYENI UADILIFU, HUKO NDIKO KUNAKOMKURUBISHA MTU NA UCHA MUNGU NA MCHENI ALLAH, HAKIKA ALLAH ANAZO HABARI ZA (yote) MNAYOYATENDA.”[5:8]

Huu ndio uislam. Uislam ni dini ambayo kila mmoja amepewa haki yake
Unafikiri ni Dini ipi isiyohubiri na kuhamasisha HAKI?

Tueleze kinagaubaga
 
Eh! Hapa umetumia buyu kufikiria namn yakukoment maan kichwa chenye ubongo hakiwez kutoa maneno haya
Nafikiri huyo mtu haumfahamu vizuri thread zake zote mpka comments zimejaa udini.
Hebu fikiria mpka jukwaa la betting analeta udini ..uyo unamuona yupo sawa upstairs?
 
Wewe umeona October 7 tu. Huoni wanauliwa watoto wa Palestina kabla October 7..wewe kweli mwehu
Mtoto gani wa palestrina ameuliwa kabla ya Oct 7? Wakati hao hao Palestinians wanaongoza kwa kupewa ajira na Israel
 
Quran imewataka watawala kuwa waadilifu na kuwafanyia haki sawa kwa watu wote hata ikiwa mlengo wa kisiasa au kidini ni tofauti

Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi (wa kupitisha haki) kwa ajili ya allah, muwe mkitoa shahada (ushahidi) kwa uadilifu. Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutowafanyia uadilifu (insafu). Fanyeni uadilifu, huko ndiko kunakomkurubisha mtu na ucha mungu na mcheni allah, hakika allah anazo habari za (yote) mnayoyatenda.”[5:8]

Huu ndio uislam. Uislam ni dini ambayo kila mmoja amepewa haki yake
Imeendelea
HAKIKA ALLAH ANAKUAMRISHENI KUZIRUDISHA AMANA KWA WENYEWE (wanaozistahiki). NA MNAPOHUKUMU BAINA YA WATU MUHUKUMU KWA UADILIFU (haki) —“ [4:58]
Mashaallah Baraka Allahu fika
 
Mtoto gani wa palestrina ameuliwa kabla ya Oct 7? Wakati hao hao Palestinians wanaongoza kwa kupewa ajira na Israel
  • The Israeli military and border police forces are killing Palestinian children with virtually no recourse for accountability.
  • Israeli forces should end the routine unlawful use of lethal force against Palestinians, including children. Israel’s allies should increase pressure to end the practice.
  • The UN Secretary-General should list Israel’s armed forces in his annual report on grave violations against children in armed conflict for 2023 as responsible for the violation of killing and maiming Palestinian children.
  • SOMA HIO WEWE NGEDERE.
  • HIO JULY 2023 HATA KABLA OCTOBER 7
 
Back
Top Bottom