Kwanini wanasiasa na watawala wa wenye imani ya kiislam wanatakiwa wawe waadilifu?

Nisome mabandiko mliyofanya typing wenyewe?
 
Wewe umeona October 7 tu. Huoni wanauliwa watoto wa Palestina kabla October 7..wewe kweli mwehu
nenda kawasadie kupambana na israel hao hamas kila siku huachi kulialia wanabondwa
 
Haya sasa ni Wasaa mwingine tena wa kushuhudia mtifuano kati ya wavaa kobasi a.k.a samaleko na wagalatia.
 
Endelea kashfa. Siku ukianza kutoka roho ndio utajuta kwanini hukuwa muisla umebaki ktk njia potofu
Wakati nikiwa kijana barubaru nilikuwa mpaka na kibarakashia na ilikuwa ni heshima kubwa kuitwa sheikh au ustaath
Lakini baada ya kuwafahamu waislamu vizuri na sheria baadhi za allah ndio nikajua kumbe shetani anaweza kujifanya malaika wa nuru.
 
Endelea kashfa. Siku ukianza kutoka roho ndio utajuta kwanini hukuwa muisla umebaki ktk njia potofu
Wakati nikiwa kijana barubaru nilikuwa mpaka na kibarakashia na ilikuwa ni heshima kubwa kuitwa sheikh au ustaath
Lakini baada ya kuwafahamu waislamu vizuri na sheria baadhi za allah ndio nikajua kumbe shetani anaweza kujifanya malaika wa nuru.
 
Wewe mwehu kweli. Muislamu yoyote akifa anapigana ktk vita vya kidini huyo usimuonee huruma mpongeze. Maana ataishi ktk maisha bora akhera. Tofauti na asiekuwa muislam yeye kwake moto tu
dini yako imekuathiri. Saa zote unawaza uislam tu
 
Wewe utakuwa huo mchezo ushafanyiwa sana na rasta fare
Rasta hatuwazi chupi mkuu.



View: https://www.youtube.com/watch?v=KHeNihblqDI
 
Wewe mwehu kweli. Muislamu yoyote akifa anapigana ktk vita vya kidini huyo usimuonee huruma mpongeze. Maana ataishi ktk maisha bora akhera. Tofauti na asiekuwa muislam yeye kwake moto tu
Hahah hii ni kwa mujibu wa nani masta?
 
Wewe mwehu kweli. Muislamu yoyote akifa anapigana ktk vita vya kidini huyo usimuonee huruma mpongeze. Maana ataishi ktk maisha bora akhera. Tofauti na asiekuwa muislam yeye kwake moto tu
Huyo anayekufundisha kujitoa muhanga kwa nini asitangulie yeye??? poor brain
 

Shoga wa rastafari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…