You nailed it bro!Wanaogopa siku wakimkera mwanamke wa namna hiyo wataachwa shaap.
Actually wanaume hawapendi au hawana ujasiri na mwanamke mjanja/mjasiri anayejua mambo.
Asili yao ni kichwa mke awe mkia (churani hukoo π π )
Na mara nyingi mwanamke akiwa mjuvi wa mambo basi mwanaume kumuona ni mjuaji na kumtosa.
Oooh nimekumbuka.....
One specie is from Mars
The other from Venus.
Sijui sijelewa mada.....π€¨π€¨π€π€π€π€π€
Ngoja niwaachia uwanja wanaume waje wajibu swali lao.
Cheichei.
You nailed it bro!
Utakuwa umeshiwa utamu aiseeWanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwanye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh .
katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi, na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Nimejimix zija ni akii za usisiiza mndee!Extroventiiiiiiiii .....!!!!!π³π³π³π³π³π€¨π€¨π€¨π€¨π€¨π€¨
Mimi sio bro.....
Ngoja nikakusemee kwa babu yangu ODM....π
Nimejimix zija ni akii za usisiiza mndee!
Imi si mshambaa wala mdigo...imi ni fani wenyuπUwoooooo....... ati waitangwa Ekistroventiiii ama ni Kelementiiiii π π ....!!
Iwe ni mshamba ama ni mdigo ama ........
Waambaa....!!!
Imi si mshambaa wala mdigo...imi ni fani wenyuπ
Kitu naweza kukuhakikishia ni kwamba an experienced woman or not lazma awe na character ya adabu na utulivu ndio atadumu na kidume. Oth3rwise inakula kwake
Sina Mengi Sana, Machache Ndiyo HayaWanawake ambao wanabadili mabwana hovyo huwa wana guts za ajabu na viburi flani hivi.
Umemaliza kila kitu na uzi ufungweWanaogopa siku wakimkera mwanamke wa namna hiyo wataachwa shaap.
Actually wanaume hawapendi au hawana ujasiri na mwanamke mjanja/mjasiri anayejua mambo.
Asili yao ni kichwa mke awe mkia (churani hukoo [emoji28][emoji28])
Na mara nyingi mwanamke akiwa mjuvi wa mambo basi mwanaume kumuona ni mjuaji na kumtosa.
Oooh nimekumbuka.....
One specie is from Mars
The other from Venus.
Sijui sijelewa mada.....[emoji2955][emoji2955][emoji851][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ngoja niwaachia uwanja wanaume waje wajibu swali lao.
Cheichei.