Kwanini wanaume hawapendi kuoa experienced woman?

Kwanini wanaume hawapendi kuoa experienced woman?

Wanaogopa siku wakimkera mwanamke wa namna hiyo wataachwa shaap.

Actually wanaume hawapendi au hawana ujasiri na mwanamke mjanja/mjasiri anayejua mambo.

Asili yao ni kichwa mke awe mkia (churani hukoo [emoji28][emoji28])

Na mara nyingi mwanamke akiwa mjuvi wa mambo basi mwanaume kumuona ni mjuaji na kumtosa.

Oooh nimekumbuka.....

One specie is from Mars

The other from Venus.

Sijui sijelewa mada.....[emoji2955][emoji2955][emoji851][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Ngoja niwaachia uwanja wanaume waje wajibu swali lao.

Cheichei.
Nimekuelewa fresh
Mambo yamebadilika ila asili hua inabaki pale pale
Inapofika swala la kuoa wanaume huwa selective,isipokuwa wapo wale wanaoa sababu amepata pesa
Hao ndo huleta balaa
 
Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwanye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh .

katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi, na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Kwa sababu kisaikolojia mwanamke akishakuwa experienced anaanza ku adapt uanaume. Anaanza kuwa na tabia za kiume. Anasahau kabisa majukumu yake km mwanamke. Muda mwingi anaiishi ile mnaita haki sawa. Demu experienced na mwenye mkwanja mnene chumba chao kimoja tu. MWANAMKE AKIFIKIA HIYO LEVEL ANAANZA KUIPUUZA ASILI.
 
Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwanye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh .

katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi, na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Kwa sababu kisaikolojia mwanamke akishakuwa experienced anaanza ku adapt uanaume. Anaanza kuwa na tabia za kiume. Anasahau kabisa majukumu yake km mwanamke. Muda mwingi anaiishi ile mnaita haki sawa. Demu experienced na mwenye mkwanja mnene chumba chao kimoja tu. MWANAMKE AKIFIKIA HIYO LEVEL ANAANZA KUIPUUZA ASILI.
 
Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwanye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh .

katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi, na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Mostly experienced woman wengi wana watoto wawili na kuendelea.
Ni nadra sana kukuta exprrienced woman halafu hana mtoto.
Binafsi navutiwa nao ila tatizo ni kuwa ni adimu.
 
Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwenye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh.

Katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Tunapenda kulinda Heshima ya Uanaune wetu ndani yetu wenyewe na mbele ya watu.


Yaan nipite mtaan nawewe, alafu kasikike kajamaa kanalopoka "huyo Demu nimepigaaaa sana huyoooo na Boooonge la K""


Duuuhhh hilo siwez libeba.
 
Wanaokwenda kwa makahaba na sugar mamy wote wanafuata wazoefu.
Kwa hiyo wapo !!
 
Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwenye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh.

Katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Dadangu mi nakupenda sana tena natamani uwe mtu wangu ila naogopa kuja pm usije kuniona mzugaji tu.
 
Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwenye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh.

Katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Wanaume hatupendi Wanawake wenye asili ya kuuza nyapu ki design! Ukiona Mwanamke anabadilisha sana Wanaume,ujuwe huyo ni muuza nyapu tu! Mwanamke anaejielewa hapendi kabisa kua na idadi kubwa ya Wanaume waliomvua chupi, ndiyo maana kuna Wanawake Wengine akisha fiwa na Mumewe hataki tena kuolewa au kua na Mwanaume mwingine!!
 
Wanaogopa siku wakimkera mwanamke wa namna hiyo wataachwa shaap.

Actually wanaume hawapendi au hawana ujasiri na mwanamke mjanja/mjasiri anayejua mambo.

Asili yao ni kichwa mke awe mkia (churani hukoo [emoji28][emoji28])

Na mara nyingi mwanamke akiwa mjuvi wa mambo basi mwanaume kumuona ni mjuaji na kumtosa.

Oooh nimekumbuka.....

One specie is from Mars

The other from Venus.

Sijui sijelewa mada.....[emoji2955][emoji2955][emoji851][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Ngoja niwaachia uwanja wanaume waje wajibu swali lao.

Cheichei.
Sifa kubwa ya Mwanamke ni stara,Sasa wwe umeenda na Mwanamke wako kwa marafiki zako,lakini unakuta Mke ndiyo amekua muongeaji Kama cherehani,kila kitu ajuwa yeye! Lazima nikupige chini faster!!
 
Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwenye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh.

Katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi na Saruji. Hii ni sifa inayozidi kumvutia mwajiri. Tatizo la list ndefu inawakeraje wanaume?
Hapana naona kama sio kweli maana mbona mtaani huku wanaume wanawapenda tuu wanawake na kuwaoa wanawake ambao breki ya kwanza p.u.mbu?
 
Extroventiiiiiiiii .....!!!!!😳😳😳😳😳🤨🤨🤨🤨🤨🤨

Mimi sio bro.....

Ngoja nikakusemee kwa babu yangu ODM....😅
Mi namwangalia tu... afu nacheka nhinhinhi...

Unajua huyu jamaa anataka kuzidisha hasira zangu dhidi ya barakoa
 
Kitu naweza kukuhakikishia ni kwamba an experienced woman or not lazima awe na character ya adabu na utulivu ndio atadumu na kidume. Otherwise inakula kwake
Kabisa ata kama ameshachezea migegedo mia kama anamuheshimu mwanaume wala hatapata tabu.
Mbona breki pu.mbu wanaolewa kila jmosi bwana.....
 
Back
Top Bottom