Kwanini wanaume hawapendi kuoa experienced woman?



Haisaidii!
Dawa ni kubadili tabia na kumcha Mungu!

Ndiyo maana watu wanapaswa kuwa makini sana na wageni wengine wanakuwa wameshaharibikiwa huko walikotoka .

Werevu na wenye maono hawakosi kuwa aware na mambo hayo.
 
Nakukabidhi maisha yangu hivyo naomba uyatunze...
Nakupa pia na moyo wangu hivyo please! usiniumizee...

Upendo wetu ili ustawi hivyo manzi kitulizee..

Na siunajua nakuloveeee, bebi love,. mamiloooooo
 
Unaweza kuongea na mimi tukakupa mjukuu wetu Joanah ... ila ndo ujipange maana mtoto kashazoea maisha ya ushuani. Usije ukamnunulia Vitz ya kutembelea mjukuu wetu akapata kibiongo au kansa ya mgongo ....

Cc bibi mtu Sky Eclat
Bibi mdogo Kasie

Asante dia babu kwa ufafanuzi huu mfupi

Ukweli sijazoea tabu mie
 
Huyo ukifanya tu zikaingia mko mwili mmoja tayari! so lazima ana Mikosi!! mikosi hivi ya ukoo! hasa ukiona hao alio waacha hawajatajirika wamechookaa!! lazima umkimbie bila kuaga na hata kujiuliza tu kwa nini hao hawakukaa?? dem bomba hivi!!

kule Tanga ni tunasema mlango wa nane huo! kimavi, mikosi siyo mwanamke Mtamu!! au ana asiri ya uchawi!! waweza kufa pia!!! mbaya zaidi kma mambo yako hayaendi ndo kabisaaa! hata baada ya kuonana tu ukifokewa tu na Boss kazini ujue harudi ivo amekuacha mazimaa!! au hivi

Daladala kila siku najaza nyomi! eti wewe uje mara niende polisi, mara nigombane na abiria,kugongwa heee! yoote haya mimi? konda wako anaanza kukushambulia kiutaniutani Eclat huyo!!! haya yooote ni yeye, ana kwambia usimuache ila jitenge nae uone kimavi

lkn wale wetu ma-CD ukipiga kamoja tu hela hizooooo! ukihonga 50000/ unapata million kwa nini nisirudi huko? maisha yana badilika faster sigombani na watu hovyo! najenga!!

na kweli wote wanaogonga ma cd ni matajiri ma boss kufuru!!!!! mkikutana huko unaanza ''daa huyu nae tuko nae humu! jarbu uone kwa kaka poa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…