Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bi zandile huu ni utamaduni wa wanaume wengi wa Afrika. Umechangiwa na mambo mengi. Kwa mfano mfumo dume unaowakosesha wanawake hali nzuri ya uchumi na haki.Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Acha upotoshaji mkuu ibrahimu yupi unamzungumzia Ni wamakobazi auJiulize ni kwa nini ibrahimu(abrahamu) alikuwa na wanawake 500 hiyo ni nature ya wanaume.
Inabidi uwe unakojolea maeneo tofauti kujenga Mwili sio kila siku unakojolea sehemu moja tu hio hio tu😅😅😅huyo bwanake yuko wapi kwanza maana mboga moja inachosha
Seleman Sele sio Ibra kachanganya mafailiAcha upotoshaji mkuu ibrahimu yupi unamzungumzia Ni wamakobazi au
Ndo ipoje hiyo mm natak mumewangu Yani akiwa Kwa mchepuko awe ananiona Mimi 😂😂ngoja niamke kwanza hii ndoto ninayoota haipoWanawake wengi wanakosa sanaa ya mapemzi wakishakuwa wake ndani ya nyumba
Sorry mkuu ni selemaniAcha upotoshaji mkuu ibrahimu yupi unamzungumzia Ni wamakobazi au
🤣🤣🤣 Moja inachosha kwakweli.....😅😅😅huyo bwanake yuko wapi kwanza maana mboga moja inachosha
😃wewe hauwashwi?Kwasababu makojoleo yao, yanawawasha kila wakiona mwanamke mpya machoni pao.
Chuna, huwa nawashwa makende. Wanaume tupunguze kuchepuka. Magonjwa mengi ya kuambukiza.😃wewe hauwashwi?
Kweli kabisaChanzo kikuu cha wanaume kuchepuka ni kubaniwa tendo la ndoa
Mdada kuwa mzuri katika ndoa sio kila kitu. Shida wadada mkishaolewa mnaanza kuchukulia mambo poa
😅😅😅Chuna, huwa nawashwa makende. Wanaume tupunguze kuchepuka. Magonjwa mengi ya kuambukiza.
Mjadala ungekuwq kwanini wanaume wanaweza kutunza siri za kuchepuka?? Yaani mtu anachepuka na watu hata watatu lakini mke hastukii. Why????Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Sio nature ya wanaume bali ni tabia mbaya ya baadhi ya wanaumeJiulize ni kwa nini selemani alikuwa na wanawake 500 hiyo ni nature ya wanaume.