Kwanini wanaume hulala baada ya tendo la ndoa?

Ukitaka ulale hadi uibiwe kwa demu, piga zako bia za kutosha, halafu kapige bao halafu ujidai eti unapumzika kutafuta la pili, ukishituka kumekucha.
hapo kinachokulaza ni pombe,hata usipopiga mashine utalala tu,
 
kazini saa ngapi mkuu?
 


Pia mwanamke kuwa gogo inachochoe sana. Utakuta mwanaume unafanya chini juu kum-please mwanamama ajisikie yuko peponi, when it comes to her working anaanza oh mimi sijuwi nifanyeje, utamkalisha na kumfundisha atakuambia miguu inaiuma, nimechoka bwana. Mze unaanza tena kwa hasira kujibinya na mwishowe wa zoezi viuongo vyote hoi, na useme utumie Viagra ili upata nguvu zaidi usilale; kuna mawili.....kuzimia au usiamke moja kwa moja. Ndiyo maana mimi nikishitukia tu huyu bidada ni gogo, nachapa vitatu vyangu kujifurahisha mwenyewe then nasepa na nikumuona kitaa namchunia tena kwa hasira za kigaidi, sitaki aniue kabla ya wakati.
 
Sijawahi lala wala sinzia aiseee... labda kupumzika tu sawa... Macho makavu kama nimetafuna mirungi...
 
ata mwanamke ukimfikisha lazima alale tena usingizi mzito sana.
 
kazini saa ngapi mkuu?


Hee, kweli kabisa job saa ngapi. Halafu jamani huu uongo wa kutuaminisha kuwa eti nyie ni wajuzi saaana wa mavituzi kumbe hamna lolote..! Ukweli mnajua wenyewe na wenzi wenu wana siri zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…