waambie ukweli hawa wanaume wa darNa ukiona li mtu linaongea hayo jua liuchu la ngono
Na Mara nyingi ni wachache kufanikiwa kimaendeleo mkuu
ww utakuwa mwanaume wa Dar maana chips kuku huwa mnakojoa kama kukuMimi tumoja, tuwili silali. Mpaka nipige vi tano hapo usingizi utanichota kiana
Tru thatHata mwanamke moja ya dalili za kifikishwa ni kulala ukiona halali ujue workdone=0
Mimi huwa nafanya kwa tahadhari kama vile nategua mabomu na kama kulala nalala kwa machale sana....maana wanawake wengine ukilala wanafanya ziara ya kushtukiza....anachukua mpaka mia nne ya nauli....
Yakhe khalua ile haina makombo pia ni mpira muscles zinajirudisha zikipewa break.Pia K nyingne ziliishatanuka sn ,K ina 50K followers inahitaji kupiga pump nying sn ili kutikisa nyavu[emoji41]
Binamu kumbe na wewe una ako kamchezo ka kusinzia kwenye mechi.....??Could be true. Nikiwa 20's sikuwa nalala, tena wakati nipo chuo ilinipa boost ya kusoma sana baada ya kula tunda. But nowadays, aaah nikimaliza ni kama nilikuwa mavens zege...
siyo kwa wote mkuu, nadhani kuna limits of elasticity...............................Yakhe khalua ile haina makombo pia ni mpira muscles zinajirudisha zikipewa break.
Hii trick wanawake wasiotaka kuchoshwa wanaitumia sana kwa kihakikisha wanaume wanalewa. Ila dawa yake ni kunywa maji mengi tu na supu ya kongoro. utakojoa mkojo kama mara 4 then unakuwa fit ajabu.Ukitaka ulale hadi uibiwe kwa demu, piga zako bia za kutosha, halafu kapige bao halafu ujidai eti unapumzika kutafuta la pili, ukishituka kumekucha.
Kiongozi,Inategemea upo na mwanamke wa aina gani,kama ni wako kihalali (Mke) kwanini ulale kwa tahadhari? Labda kama ni wale wahuni wezi.Mimi huwa nafanya kwa tahadhari kama vile nategua mabomu na kama kulala nalala kwa machale sana....maana wanawake wengine ukilala wanafanya ziara ya kushtukiza....anachukua mpaka mia nne ya nauli....
Mleta mada hakuweka bayana kuwa ni mwanamke yupi ukifanya nae ngono unalala....Kiongozi,Inategemea upo na mwanamke wa aina gani,kama ni wako kihalali (Mke) kwanini ulale kwa tahadhari? Labda kama ni wale wahuni wezi.
Kiongozi, maini yameanza kuzeeka!!!Binamu kumbe na wewe una ako kamchezo ka kusinzia kwenye mechi.....??
Si nasikia kuwa kuna wachina wanarenew....Kiongozi, maini yameanza kuzeeka!!!
Saa mbili tatu???Yawezekana...! Japo mimi napiga show ya kistaarabu dk 45, nikimaliza narudi sebuleni naaangalia game za Spain (La liga) usiku saa tano mpaka saba. narudi bedi, nampa mamsapu kimoja cha ushindi, kama Barca kashinda lakini. Asbh saa mbili-tatu nampa tena kingine cha dk30. Then tunaamka, tunapiga supu safi, mambo mengine yanaendelea
Sio wote wanaingia kazini kwa wakati mmoja.kuna wengine wamejiajiri wanafanya shughuli za kwa masaa kadhaa tu mpunga wa maana.kazini saa ngapi mkuu?