Kwanini wanaume huwa na michepuko?

laiti ingefaa ningekupa like 100 TIMES nami nimeaambia huku kweye blue ndo ukweli wenywe

watakufa waache watoto yatima au apate kovu la uzeeni kisa nini...

sifuatili mtu yoyote as long as ananipa mhitaj yangu
Asprin njoo huku.....
 
Last edited by a moderator:
asante sana tian naona kama vile umemaliza japo najua wewe si me.

Mie "ke" ..Sisi Wanawake ni wahanga wakubwa wa hiyo michepuko inayofanya na waume/wapenzi
 
Last edited by a moderator:
Alafu kama ni mimi huyo mama yani siondoki hatuachani natafuta king"amuzi changu akieda kwa kimada wake na mie huyoooo nikirudi mie hoi najilalia na wanangu maisha yanenda ya nn kuangaika uje kufa presha upate na kisukari na vidonda vya tumbo maisha yenyewe haya yashakuwa mafupi hivi aaaaggggr
 
asante kw mchango wako mkuu na napata faraja kujua kuwa japo wapo wanaume ambao nyumba ndogo wala sio ishu a wanawaheshimu wake zao,hongera sana mkuu.
 
asante kw mchango wako mkuu na napata faraja kujua kuwa japo wapo wanaume ambao nyumba ndogo wala sio ishu a wanawaheshimu wake zao,hongera sana mkuu.
usijali mkuu kawaida hiyo tatizomatamanio sometimes huwa yanatushinda nguvu na kupelekea kuchepuka but ni jukumu letu kuyashinda kuendekeza kuchepuka sio dili wala nini??
 
sure cha msingi nikujenga tabia ya kuridhika na uliyenaye basi mengine yote yanaweza yakasubiri coz wazuri kila siku hawaishi na matamanio ndio hulka ya binaadamu so kama tutashindwa kujuzuia na kutamni kwetu its very possible tutaendelea kufeli katika maisha ya ndoa
ila tatizo kuu ninaloliona watu wanaooa ilhali hawako tayari kuoa (kwa maanna kupata pumziko la kudumu) unamkuta mtu anaooa alafu mwzi wa pili tu baada ya ndoa mtu anachepuka mtu kama huyu kumzuiaasichepuke ni kazi sana.
 
ubora katika mambo yote na wakati wote kwani tunapoongelea ndoa tunamaanisha siku zote za maisha yako yaliyobaki duniani na kwa wakati wote.
1. Ubora ktk nini na kwa wakati gani? @ mtoa mada
 
hapo sasa ndugu yangu na atajitumaje mtu anahudumia watu hata watatu?kwani ye mashine?mashine yenyewe wakati mwingine inatakiwa ipoe ndo iendelee na kazi ikawe binadamu?
Amemkosea sana mkewe,basi mi jana mume kama hio utakuta ata mkewe amfikish kilelen,ila umaraya kauweka mbele,pengne atasema nyumba ndogo inaufundi wakati yeye mwenyewe ajitumi kwa mkewe,

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
kwa vigezo vipi?mbona Mungu alipomuumbia adamu mke mbona alimuumbia mke mmoja tu?kama angejua mwanaume hastahili kuwa na mke mmoja tu kimaumbile si angemwumbia wanawake wawili?
4. Patrilineal societies vs matrilineal societies.
Polygamy is for men not women. Though women practice it too nowadays at higher scales
 
Blue G embu soma hiyo, afu kama kuna swali utaniuliza! (coz nahisi yale maswali uliyoniuliza nimeyajibu humo)

 
Last edited by a moderator:
ubora katika mambo yote na wakati wote kwani tunapoongelea ndoa tunamaanisha siku zote za maisha yako yaliyobaki duniani na kwa wakati wote.

Hakuna kilicho bora au aliye bora kwa mazingira yote na wakati wote. Take note.
Ndoa za Leo ni comparison ya fatuma vs Sarah. Unategemea nini hapo.... hapo hata iweje kuna siku atammic Sarah au fatuma na kumtafuta kwa shughuli. Mhm usitafute hbr itakayokuumiza nafsi. Kwa usalama wako, ishi kwa assumption kuwa mko wawili tuu na watoto wenu
 
Heshima gani aliyoionyesha hapo mkuu? Kwa kumpiga mkewe mbele za kimada au?
7. Alionesha heshima ila mkewe akayatafuta maumivu yake mwenyewe ( poor approach ya kusolve tatizo). Mwiba hutolewa pale ulipoingilia.
 
kwa vigezo vipi?mbona Mungu alipomuumbia adamu mke mbona alimuumbia mke mmoja tu?kama angejua mwanaume hastahili kuwa na mke mmoja tu kimaumbile si angemwumbia wanawake wawili?

Jackob , Ibrahim na wengineo walikuwa na wake wangapi? Mungu aliwaadhibu kwa hilo?
 
Ni kweli mwaya lakini wao wanajitetea eti kimaumbile,sa sijui ni maumbile yapi hayo?maumbile waliyopewa na mungu au waliyojipa wenyewe?
nadhani ni tabia tu ashki za ghafla walizonazo wanaume na siyo kutotosheka
 
Pengine alitaka ushahidi unajua Tuko mambo mengine si rahisi mtu kukubali ikiwa hajakutwa atakataa mpaka basi,wala mke wa watu hakuwa na kosa mume si wake bana si waliliana kiapo?basi alitaka ajionee kwa macho yake ila sema ndo hiyo mume alivyo ----- akamgeukia mke na kuona kimada ndo anafaa kutetewa,kwani na we Tuko unamuunga mkono huyo mwanaume?
Shida nyingine za kujitakia. We ushagundua mmeo ana nyumba ndogo. Unajifanya kiherehere cha kwenda kuvamia. Kwa nini usimsubiri arudi nyumbani myajadili...
 
Last edited by a moderator:
Eee Mungu nakuomba kama nitamsaliti mke wangu mpenzi kwa huu upuuzi nakuomba nisifanikiwe kuoa kabisa

Nimejaa sana sumu

Yaani mke wangu ambae nimeapa kumlinda ndio nabadilika kuwa mshenz.i kiasi hiki kwa kumuumiza?

Oooh Lord noooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
inaudhi kwa kweli eti kimaumbile mwanaume hawezi kuwa na mwanmke mmoja,maumbile?maumbile yapi hayo?
 
teh teh teh teh umukagame umeniacha hoi mwenzio kwa kucheka.
Me ndo mana huwa najiapiza yani nikimfuma mwanamke na mpenz wangu live segerea itanihusu,,mchumba tu anauma licha ya mume unaeishi nae ktk shida na raha
 
Last edited by a moderator:
nikifikiria hizi mambo hata kuolewa naogopa. hawa viumbe wenye mikia mbele wanahitaji maombi sana.
 
tatizo wanwake wana huruma sana kamusi unakuta kama ungeamua kumpeleka selo angejiliza liza mara mbili tatu na vimsamaha vya kinafiki hivi unamsamehe tayari.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…