Kwanini wanaume huwa na michepuko?

wala hapo unakuwa hujafanya kilicho sawa kwani utakuwa unataka kufanya mashindano na mwanaume na kiukweli kabisa siku zote pakiwepo na mashindano kati ya me na ke mara zote me hushinda na ke hubaki kajichafua na wala hafiki popote so badala ya kutumia nguvu zako nyingi kushindana na mwanaume ni mara mia kuachika.
 
babu Asprin usituharibie waume zetu vijana kwa hizo justification zako za cheating, kulakuso mbee!

kama wewe bibi alikubaliana na hilo its okay, plz usitake kuhalalisha dhambi hii.

nampa pole mama aliyekumbwa na dhahama hii, ila cha kujifunza hapa, kufanya fujo haibadili ukweli.. tulia, tafakari ..then ndio uchukue hatua.
 
Last edited by a moderator:
kwa vigezo vipi?mbona Mungu alipomuumbia adamu mke mbona alimuumbia mke mmoja tu?kama angejua mwanaume hastahili kuwa na mke mmoja tu kimaumbile si angemwumbia wanawake wawili?

Mke wa Adam hakuwa mzembe kama nyie. Alimtosha Adam sio nyie wachovu kazi kulalamika tu, kila saa mmechoka.
 

Mada yako ni nzuri,muhimu na ya kufikirisha kama mwanaume nimekaa nakajitafakari bila upendeleo nikajiuliza maswali muhimu kuliko yote JE NIMEWAHI KU MCHEAT GIRLFRIEND WANGU? JIBU NI NDIYO.JE NIMESHAWAHI KUMVUNJIA HESHIMA? JIBU NI HAPANA.JE NIMESHAWAHI KUMDHALILISHA MWANAMKE KWA SABABU YOYOTE IKIWEMO YA MAPENZI JIBU NI HAPANA.SASA KWANINI NILI CHEAT? JIBU NI UPUUZI NA MALEZI YETU KAMA WATOTO WA KIAFRIKA TUNAVYOLELEWA TUNALAZIMISHWA KUWA MA HERO TUSIOSHINDIKA TULIOZUNGUKWA NA WANAWAKE KAMA KING MSWATI YAANI KUWA WANAWAKE NI ALAMA YA UFAHARI NA BAHATI MBAYA NA WANAWAKE WAMEATHIRIKA NA SAIKOLOJIA HIYO TAZAMA MWANAUME MWENYE KUPENDA KUCHEZEA WANAWAKE VILE WANAWAKE WANAVYOMPAPATIKIA HATA KAMA AWE NA SURA KAMA YA DIAMOND.KWA HIO SISI SOTE NI VICTIM WA MFUMO DUME.NDIYO MAANA WANAUME WANAWAOGOPA WANAWAKE WALIOJITEGEMEA SABABU WAKO HURU TOKA MFUMODUME.
 
USILOLOPENDA KUTENDEWA WEWE USIMTENDEE MWINGINE - Blue G
 
Last edited by a moderator:
asante mkuu.
usijali mkuu kawaida hiyo tatizomatamanio sometimes huwa yanatushinda nguvu na kupelekea kuchepuka but ni jukumu letu kuyashinda kuendekeza kuchepuka sio dili wala nini??
 
nimeipenda hiyo attitue yako lakini nia swali moja tu kwako mkuu Tarime one,hapo kwenye red em naomba nikugeuzie kibao wewe ni sababu ipi anayoweza kuitoa mkeo kama kigezo cha kuchepuka ili uweze kumwelewa na kuona kuwa hakukosea kuchipuka?

Mkuu Blue nimesema swala la michepuko limegawanyika katika sehemu 2,kwanza wale wanaochepuka kwa kuwa ni tabia yao,na wale wanaoamua kuchepuka coz kuna kero na karaha ndani ya ndoa,.kuchepuka hakuepukiki kwa mwanaume rijali Ila najitahidi kutomwonyesha wife.
 
Last edited by a moderator:
si rahisi kama unavyosema nkungwe123 mtu anaweza kuamua kukaa kimya tu lakini ukweli ni kwamba mapenzi hayagawiki nenda uendako mkuu huwezi kuta mtu karidhikika tu kushare penzi la mume/mke na mtu mwingine,na mara zote ukianza michepuko tu,jua lazima kuna upande utaegemea tu no way na ndo hapo unapoazna kuleta hisia za mashaka na kuleta udadisi kuwa kuna nini kinacheondelea,au wewe ukiona mabadiliko kwa mkeo utanyamza tu?au kwa kuwa wewe ni mwanaume ni ruksa kumfuatilia ila yeye akuache tu?
 
Last edited by a moderator:

Kwa mfano wewe mmeo akiomba umpe tigo utampa au utamchukuliaje? Sasa nyumba ndogo zina akili sana. Zinajua wake huwa hawatoi hiyo makitu kwa waume zao. Sasa wao hawasubiri kuombwa, wanatoa wenyewe.... na bado kuna vingine tu kibao.
 
Heshima gani aliyoionyesha hapo mkuu? Kwa kumpiga mkewe mbele za kimada au?

Lile ni somo la vitendo juu ya mipaka ya kitafuta hbr za mume. Je, km asingekwenda angepogwa? Na alijiamini nn kwenda kuanzisha ugomvi kwenye nyumba ya watu?
 


laiti ingefaa ningekupa like 100 TIMES nami nimeaambia huku kweye blue ndo ukweli wenywe

watakufa waache watoto yatima au apate kovu la uzeeni kisa nini...

sifuatili mtu yoyote as long as ananipa mhitaj yangu

Hakika wewe ni mwanamke muelewa. Wife material na mama bora.
 
Owen i wanawake mnao wapenda wawili, watatu mpaka wanne tu. Shida iko wapi mwache wampige makofi tu😛eace:
 

Mm simfuatilii mtu mzima na akili zake. NEVER WILL I DARE DO THAT.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa mchango wako mzuri mkuu Kighiria Wachal natamani wengine pia waosome hapa wapaelewe,babu Asprin cam zis wei pulizi.

Mimi bhana sipendi mambo ya kitamthilia. napenda ukweli ulio dhahiri. Waache waendelee kujipa moyo.
 
Last edited by a moderator:

Siwaharibu mimi dada bali necha..... Mwanaume kuwa na mchepuko haipukiki. Waangalieni mafahari, mabeberu na majogoo. Mitetea haina akili lakini inaelewa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…