Jackob , Ibrahim na wengineo walikuwa na wake wangapi? Mungu aliwaadhibu kwa hilo?
Mxiiuuuuuuuuuuuuu unaumwa wewe!
Eee Mungu nakuomba kama nitamsaliti mke wangu mpenzi kwa huu upuuzi nakuomba nisifanikiwe kuoa kabisa
Nimejaa sana sumu
Yaani mke wangu ambae nimeapa kumlinda ndio nabadilika kuwa mshenz.i kiasi hiki kwa kumuumiza?
Oooh Lord noooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
babu Asprin usituharibie waume zetu vijana kwa hizo justification zako za cheating, kulakuso mbee!
kama wewe bibi alikubaliana na hilo its okay, plz usitake kuhalalisha dhambi hii.
nampa pole mama aliyekumbwa na dhahama hii, ila cha kujifunza hapa, kufanya fujo haibadili ukweli.. tulia, tafakari ..then ndio uchukue hatua.
Mada yako ni nzuri,muhimu na ya kufikirisha kama mwanaume nimekaa nakajitafakari bila upendeleo nikajiuliza maswali muhimu kuliko yote JE NIMEWAHI KU MCHEAT GIRLFRIEND WANGU? JIBU NI NDIYO.JE NIMESHAWAHI KUMVUNJIA HESHIMA? JIBU NI HAPANA.JE NIMESHAWAHI KUMDHALILISHA MWANAMKE KWA SABABU YOYOTE IKIWEMO YA MAPENZI JIBU NI HAPANA.SASA KWANINI NILI CHEAT? JIBU NI UPUUZI NA MALEZI YETU KAMA WATOTO WA KIAFRIKA TUNAVYOLELEWA TUNALAZIMISHWA KUWA MA HERO TUSIOSHINDIKA TULIOZUNGUKWA NA WANAWAKE KAMA KING MSWATI YAANI KUWA WANAWAKE NI ALAMA YA UFAHARI NA BAHATI MBAYA NA WANAWAKE WAMEATHIRIKA NA SAIKOLOJIA HIYO TAZAMA MWANAUME MWENYE KUPENDA KUCHEZEA WANAWAKE VILE WANAWAKE WANAVYOMPAPATIKIA HATA KAMA AWE NA SURA KAMA YA DIAMOND.KWA HIO SISI SOTE NI VICTIM WA MFUMO DUME.NDIYO MAANA WANAUME WANAWAOGOPA WANAWAKE WALIOJITEGEMEA SABABU WAKO HURU TOKA MFUMODUME.
Mkuu Blue nimesema swala la michepuko limegawanyika katika sehemu 2,kwanza wale wanaochepuka kwa kuwa ni tabia yao,na wale wanaoamua kuchepuka coz kuna kero na karaha ndani ya ndoa,.kuchepuka hakuepukiki kwa mwanaume rijali Ila najitahidi kutomwonyesha wife.
Kwa mfano wewe mmeo akiomba umpe tigo utampa au utamchukuliaje? Sasa nyumba ndogo zina akili sana. Zinajua wake huwa hawatoi hiyo makitu kwa waume zao. Sasa wao hawasubiri kuombwa, wanatoa wenyewe.... na bado kuna vingine tu kibao.
neggirl mwambie babu yangu Asprin maanake alivyo mbishi utafikiri kifuu cha nazi.
ila hapo kwenye red ndugu yangu mmama wa watu hakujiona si unajua tena uchungu wa mume.......na hasira.......... neggirl unakuta wala huwazi kufanya fujo lakini ishu ikitokea ghafla bin vuuuuu hatua unayoichukua kwa wakati huo hata huifikirii mara mbili mbili mume/mke anauma jamani asikwambie mtu haya yasikiage tu kwa mwingine kama stori yasikukute.
Lile ni somo la vitendo juu ya mipaka ya kitafuta hbr za mume. Je, km asingekwenda angepogwa? Na alijiamini nn kwenda kuanzisha ugomvi kwenye nyumba ya watu?
Owen i wanawake mnao wapenda wawili, watatu mpaka wanne tu. Shida iko wapi mwache wampige makofi tu😛eace:
my babu Asprin i respect and love you so much ila for this i think am loosing my temper,you speaking of tigo?ina maana husali au inakuwaje?
Mm simfuatilii mtu mzima na akili zake. NEVER WILL I DARE DO THAT.
Mimi bhana sipendi mambo ya kitamthilia. napenda ukweli ulio dhahiri. Waache waendelee kujipa moyo.
Siwaharibu mimi dada bali necha..... Mwanaume kuwa na mchepuko haipukiki. Waangalieni mafahari, mabeberu na majogoo. Mitetea haina akili lakini inaelewa.
Kitambo sana sasa hivi nalea wajukuu zangu
huna lolote my babu na hapo umechemsha kwa kweli nani kakwambia kumpenda mke na kumstahi na kumprotect ni mambo ya kitamthilia?kwa majibu haya nadhani bibi yangu ana hali ngumu na nadhani sikuzote huwa anailaani ile siku ya kwanza ya yeye kukutana na wewe!!!!!!!!!!!!!!!!
Hili swala la kusema michepuko haiepukiki ndo linalosababisha na upande wa pili kuchepuka. Busara zinatakiwa sana ktk swala hili, heshima kwa mkeo ndo kitu cha msingi.
Ww binadamu gani usiejali hisia za mwenzako, umemuuza kihisia na bado unaenda kumuongeze maumivu ya mwili pia, wakati kosa ni lako. Ni wazi hapo mwanaume anamapungufu angekuwa mwanaume wa kweli angetumia busara na sio kipigo!