Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] oa sasa si mnakula viapo vya uaminifu kwa nn mnasaliti?!!!Simple definition Adam na Hawa sio Adam na huyu....
Mfalme Suleiman alikua na vimada wangap na bado biblia inamtambua
Msituchoshe kila siku tunachepuka tunachepuka kama hamtak muwaambie wanawake wenzenu wawe wanakataa bas
Sababu ni nyingi, mke kuwa katika siku zake, mke kuumwa, mke kajifungua, mke amesafiri n.k
Maumbile ya mwanaume kuvumilia kwa muda mrefu ni kazi jamani wakina Dada muielewe hiyo hali.
Kweli.mmmhhh!jamani
Na ukiyatetea unaonekana wewe ndio mwanamke, hebu waache upuuzi.huo ndo udhaifu wa wanaume wanataka yale yanayowafever wao ndo tuyape umuhimu na kuyatetea!
Na akili yako ndipo ilipoishia? Kwahiyo hiyo michepuko yako ndio inamaliza hayo matatizo?Mm kwa matatizo niliyonayo kwa wife michepuko lazima niwe nayo sababu mengine munayataka wenyewe wanawake.
Hali imekuwa mbaya zaidi, siku hizi mwanamke akiona mumewe mchepukaji nae anachepuka. Imbombo ngafu.Tena wao ndo mapungufu yao yapo mengi sana Ila sisi tunakufa nayo
Hawa wanaume wa siku hizi mtihani mtupu wanataka wao wakamilike!
Mwanamke ukikosea kidogo hufai
And here the story goes on!!Simple definition Adam na Hawa sio Adam na huyu....
Mfalme Suleiman alikua na vimada wangap na bado biblia inamtambua
Msituchoshe kila siku tunachepuka tunachepuka kama hamtak muwaambie wanawake wenzenu wawe wanakataa bas
Visingizio visingizio visingizio.........Sababu ni nyingi, mke kuwa katika siku zake, mke kuumwa, mke kajifungua, mke amesafiri n.k
Maumbile ya mwanaume kuvumilia kwa muda mrefu ni kazi jamani wakina Dada muielewe hiyo hali.
dhambi sanaKweli.
wanaanzaga wao lknWameshakuja wanautetezi kuwa kosa sio lao, ni la wanawake.
Wanaamini michepuko ndo solution ya matatizo yao.Na ukiyatetea unaonekana wewe ndio mwanamke, hebu waache upuuzi.
Kuchepuka ni maamuzi kama yalivyo maamuzi mengine, ukiamua kuchepuka usitafute justifications.
Na akili yako ndipo ilipoishia? Kwahiyo hiyo michepuko yako ndio inamaliza hayo matatizo?
Mkeo ni image yako ukiona ana matatizo basi ujue hata wewe una matatizo.
Zile akili mlizoambiwa mzitumie,basi zitumie katika kumaliza hayo matatizo ya nyumbani kwako kabla ya kwenda kutafuta matatizo mengine.
linakinaishaje kwa mfano? funguka boss ili tujue tujirekebishe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunavumilia tu kulinda heshima zetu
tena janaume lingine linakinaisha Ila ufanyeje tena!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanzo alikua anajitambua na kujituma kwenye kila kitu!Ila baada ya ndoa anabadilika moja kwa zote anakua hovyoo....!linakinaishaje kwa mfano? funguka boss ili tujue tujirekebishe
Sie tukimaliza taabu, tunaonekana sisi sio wao. This is a blame game, Adam alilaumu mwanamke, mwanamke akalaumu nyoka. Maybe nyoka angeulizwa angemsingizia Mungu. Kwahiyo acha tu twende hivyo hivyo.wanaanzaga wao lkn
Siyo visingizio bibie huu ni ukweli mtupu.ungekuwa mwanaume ungenielewa.Visingizio visingizio visingizio.........
Ndivyo mnavyosemaga, mnajiendekeza tu ili mpate visingizio vya kuchepuka.Siyo visingizio bibie huu ni ukweli mtupu.ungekuwa mwanaume ungenielewa.
hulka za ajabu tu mwingine anatimiziwa vyote na mwanamke Ila bado anachepukaNdivyo mnavyosemaga, mnajiendekeza tu ili mpate visingizio vya kuchepuka.
Hao wasiochepuka sio wanaume?