Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
kujiendekeza!hawa viumbe hawa!Tamaa na kujiendekeza.....
Ukiongezea kushauriana vibaya na kugezana
Kiufupi ni ujinga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kujiendekeza!hawa viumbe hawa!Tamaa na kujiendekeza.....
Ukiongezea kushauriana vibaya na kugezana
Kiufupi ni ujinga tu
Aisee Mimi nawatafuna sana mana hakuna namna ...
mmoja sio wawili!adam mwenyewe alipewa HAWA
Mkiolewa mnadengua sana mambo mnatoa kwa ubanizi, viuono mnaweka ambao yaan magogo. Mnanepepeana kama miguruwe tukiwaambia mfanye mazoez mnakuwa wakali.halafu heshima mnapunguza na vibur vinawajaa. Mlikuwa kila wiki mnajinunulia chupi mkiolewa mpaka zinakuwa nyekundu katikati. Mchepuko aah akisikia unakuja mwee aisugua na still wire mpaka inanoga. Mchepuko anajua Julia hata kam ni kiwizwiz, anakatika
hawa wembona unakuwa mbishi ua haujui kiswahilimmoja sio wawili!
aolewekumbe afanyeje?!
mmmmhhhnurture modernized natural behaviour
hawa wembona unakuwa mbishi ua haujui kiswahili
hawa wembona unakuwa mbishi ua haujui kiswahili
ndo hvyo sasa...aolewe
umeamua kunianzishia uzi eeee??Heloo...!
Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!
Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!
Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.
Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..
Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..
Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..
Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????
Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!
Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!
Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji3] [emoji3] [emoji3] akuuuu!!umeamua kunianzishia uzi eeee??
kwa haraka utaona hivyo, ila hapa kuna kesi 2in one!Think about it. Ingekuwa umeanzisha mada kwa nini wanaume wengi wanakuwa mashoga labda ungekuwa na hoja. lakini suala la kuchepuka..ni la wawili..mtu mume na mtu mke.
Now,
- kuna waume za watu wanachepuka
- kuna wake za watu wanachepuka
- kuna wachumba wanachepuka (refer: alilala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi..)
So, ukiona wanaume wengi wanachepuka ujue pia wanawake wengi wanachepuka pia!