Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Tiba sahihi ya mwanamke mkorofi ni mwanamke mwenzake tu that's it, hili limethibitishwa kitaalam dunia nzima na wanazuoni wote.
 
Inawezekana ila tabia zao tata zinasababisha tuchepuke tu
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
Nimeshangaa sana kwa hii thread yako wakati kuna uzi fulani hivi mwanaume analalamika kwamba anachunguzwa na mke wake na comment yako ni kwamba umemuona huyo mwanamke n mpuuzi na wa ovyo. Sasa sijajua kwann unauliza hivi wakat comment yako inaonesha una support mochepuko kwa wanaume.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanzo alikua anajitambua na kujituma kwenye kila kitu!Ila baada ya ndoa anabadilika moja kwa zote anakua hovyoo....!
Sawa, ila inawezekana nae mmefunga na ndoa ya kanisani, mwanzoni wife anajituma vizuri, labda mkishakaa miaka kama 9 hivi mmezaa labda watoto wawili hivi,mmezoeana na kufahamiana vya kutosha unamhudumia kila kitu, akikohoa unaitika kama vile umeitwa, ulimkuta labda ana "ka cheti" ka Crush programme, ukajitahidi ukampeleka shule kwa gharama zako anakaribia kupata ka degree kamoja. Mkiwa labda kitandani mnazungumza kabla ya "LIGI KUU" anakwambia kwamba "hajawahi kukupenda" kama mzaha mzaha vile, kama ni wewe mwanaume wake ungefanyeje labda?
 
Inawezekana hata wewe ungekuwa wa kiume ungechepuka maana ukoo wenu unadamu ya kunguni ya kuchepukachepuka Na hapo umechepuka kuja kuwaambia jf mnavyochepuka
 
Kuna mambo ni nature.Kwa asili kabisa mwanaume ameumbwa kua na wanawake wengi kwa kadri anavyoweza.yaan kama unavyomwona jogoo nawanyama wengine wanaomilik majike mengi.Kwaiyo kua na wanawake wengi iyo ni hulka yakiume.Sasa watu hawatak kulizungumzia ilo kwasababu wamelemea upande wa dini ndo maana mojawapo ya dini moja wao ni ruksa kua na wake wengi naiyo iko ata kwa baadhi ya tamaduni na mila za makabila flan flan.Kwaiyo sasa maamuz yanabak kwauyo mwanaume kuamua kua na wanawake wengi au kuamua kupambana na asili nakujizuia kua na mmoja.Tofaut na hapo wengine ni unafik wanafanya kujifanya hawapend wanawake weng uku akitembea barabaran aachi kukata shingo uku na uku kila akipishana na mrembo.Kwaiyo mi naona wale tunaoweza kula wacha tule tani yetu maana ndo maua ayo tumeumbiwa.
Hivi huu uasili wa mwanaume kuumbwa kua na wanawake wengi mnautoa wapi?
 
Nimeshangaa sana kwa hii thread yako wakati kuna uzi fulani hivi mwanaume analalamika kwamba anachunguzwa na mke wake na comment yako ni kwamba umemuona huyo mwanamke n mpuuzi na wa ovyo. Sasa sijajua kwann unauliza hivi wakat comment yako inaonesha una support mochepuko kwa wanaume.
Ukimsoma vizuri huyu alieanzisha hii thread utagundua kwamba yeye ni mchepuko wa mume wa mtu.

So usishangae sana, vitu vya kawaida.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie mmezid

chaaa!
geniveros, kusema kwamba wanaume wamezidi ni uwongo.
njoo hapa:
kama kuchepuka huhusisha jinsi mbili, yaani mke na mme, maana yake mwanaume mmoja akichepuka mke mmoja pia amechepuka(refer: hii ishu inahusisha watu wawili). being so, wakichepuka wanaume 100, wanawake 100 pia wamechepuka.
so uko wapi uzaidi wa wanaume kwenye kuchepuka?
 
Tatizo sometimes kunakuwa na foleni, au njia kuu mvua ikinyesha hapo lazima tuu
 
geniveros, kusema kwamba wanaume wamezidi ni uwongo.
njoo hapa:
kama kuchepuka huhusisha jinsi mbili, yaani mke na mme, maana yake mwanaume mmoja akichepuka mke mmoja pia amechepuka(refer: hii ishu inahusisha watu wawili). being so, wakichepuka wanaume 100, wanawake 100 pia wamechepuka.
so uko wapi uzaidi wa wanaume kwenye kuchepuka?
Unapotosha mada yake, wanaume wengi tu wenye ndoa zao wanatembea na wasichana ambao hawajaolewa, hawa ni free Lady's, hata kwenye madisco wana siku yao ladies free yani wanahitajika kwa wingi kwenye chagulaga ya mijini.

Fact ni kwamba ndoa ikiwa imesimama imara na ugali upo wa kushiba na mwanamke si malaya wa kurithi tangu kwao basi si rahisi kwa mwanamke huyu kutoka nje ya ndoa.

Wanawake wengi wanaotoka nje ya ndoa wana reason, lakini wanaume kutoka nje ya ndoa kwetu ni option tu.

Wasomeni vizuri wanawake msipowaelewa saikolojia yao hata uwe na pesa kama njugu atagongwa tu for reason lakini ukiwaelewa vizuri mwanamke ni ngumu sana kutoka nje ya ndoa, next to impossible.
Ila hapo juu siwazungumzii Malaya wa kurithi kutoka kwa mama zao, maana ieleweke kuna wadada wamefundishwa hasa umalaya na mama zao wazazi na wamejazwa dhana ya mafiga matatu.
 
Hivi mtoa mada, hawa wanaume wanachepuka na mbuzi? au! naomba unieleweshe
 
Ukimsoma vizuri huyu alieanzisha hii thread utagundua kwamba yeye ni mchepuko wa mume wa mtu.

So usishangae sana, vitu vya kawaida.
[emoji15][emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
asante sana kwa hilo...!
 
Tafuta comment yangu nyingine kwenye ule Uzi!
Nimeshangaa sana kwa hii thread yako wakati kuna uzi fulani hivi mwanaume analalamika kwamba anachunguzwa na mke wake na comment yako ni kwamba umemuona huyo mwanamke n mpuuzi na wa ovyo. Sasa sijajua kwann unauliza hivi wakat comment yako inaonesha una support mochepuko kwa wanaume.
 
Back
Top Bottom