Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

ndio hapo mkuu! Mm nawaambia wanawake wote kuwa mtusamehe tu. Tuchukulien kuwa hcho ndio kilema chetu. Lakin kugegeda nje hakukwepeki hyo lazma....... Kwasababu kuna wakat ham kwa mkeo inaisha kabisa lakin ukienda nje mtanange kama kawa....... Ili nipate ham na ww lazma nikuchenge kidogo..... Huo ndio ukweli

aiseee,

kweli huu ni ubinafsi wa hali ya juu,Wakati unapoteza hamu kwa mkeo yeye hapotezi hamu kwako wewe ukiwa kama mume wake??
Na je ikipotea yeye naye afanyeje?
 
As bad as kuficha pete zenu za kifungo cha ndoa mfukoni
:biggrin:

Nina hakika kuwa kwa wanawake ni asilimia kidogo sana,
Na mpaka aamue kufanya hivyo mume atakuwa amemtesa vya kutosha,
Wanawake wameumbiwa uvumilivu na sio wanaume.
 
tian dunia imebadilika hata cye wanawake tunachepuka sana tu na nina mifano mingi tu in my family, cha msingi ni kuomba yasikukute,kusalitiwa kunaumiza

Wanaume wenyewe hawa wanaosema mboga moja hainogi!!
Kweli Mungu anahitajika kuingilia kati
 
kiukweli ndio hvyo japo bado twawapenda na kuwathamin

Kama Umeoa,Mkeo na Watoto nawaonea huruma sana,

Kama Hujaoa,basi mchumba wako naye atapata tabu sana,Ila ninachojua ipo siku tu naye atachoka,

Na Fimbo Ya Mungu Lazima Itakuandama Popote Uendapo
 
Kama Umeoa,Mkeo na Watoto nawaonea huruma sana,

Kama Hujaoa,basi mchumba wako naye atapata tabu sana,Ila ninachojua ipo siku tu naye atachoka,

Na Fimbo Ya Mungu Lazima Itakuandama Popote Uendapo

Hiyo fimbo itaangukia wanaume wote akiwemo wako. Hakuna mwanaume asiyechepuka. Ni mimi na Yesu tu baaas.
 
Hiyo fimbo itaangukia wanaume wote akiwemo wako. Hakuna mwanaume asiyechepuka. Ni mimi na Yesu tu baaas.

Kwanza Wangu Ndo awe wa kwanza kucharazwa bakora,
Maanake hata ile heshima ya binafsi haipo!!

Kama Wewe Huchepuki Hongera,Umechagua lililo jema
 
kwasababu hakuna anayeweza kupingana na necha.

Necha au Kujiendekeza?
Kwani unataka kunambia wanaume wote wanachepuka?
Hakuna hata walobakia kama mfano wa kuigwaaa??

Ninachojua ni mtu anachagua mwenyewe njia anayoitaka!
 
Heshima kwenu wakuu.
Mleta mada nakushauri ufanye tena upembuzi yakinifu kwani nijuavyo michepuko inawahusu wadada/wamama walioko ndoani.
 
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,

Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,

Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?

Kutulia na mke mmoja hamuwezi?

BADILIKA TAFADHALI.

we call it hasty relationship! Hasty love anafikiri huko nje atapata ziada !labda magonjwa na nuksi

Halafu tian kumbuka ujana maji ya moto
 
Back
Top Bottom