Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

we call it hasty relationship! Hasty love anafikiri huko nje atapata ziada !labda magonjwa na nuksi

Halafu tian kumbuka ujana maji ya moto

Sasa kama ujana ni maji ya moto si angesubiri mpaka amalize yote?
 
Heshima kwenu wakuu.
Mleta mada nakushauri ufanye tena upembuzi yakinifu kwani nijuavyo michepuko inawahusu wadada/wamama walioko ndoani.

Unamaanisha nini kwa kusema yawahusu wanawake walio ndoani?
Mwanaume yeye kinachomhusu ni kipi?
 
Necha au Kujiendekeza?
Kwani unataka kunambia wanaume wote wanachepuka?
Hakuna hata walobakia kama mfano wa kuigwaaa??

Ninachojua ni mtu anachagua mwenyewe njia anayoitaka!

Nitajie watatu wasiochepuka, ukinitoa mimi na Yesu.
 
lakin najua unatambua kuwa wanawake ndio weng kuliko wanaume........ Hebu nikuulize........ Ungejiskiaje kuona wanaume wote wametulia na wake zao wakat huo ww peke yako ndio hujaolewa na hakuna mwanaume yeyot anayekutongoza ungejiskiaje hapo?! Sisi tunafanya hvyo kuwaondolea stress wale ambao hawajaolew na waliotendwa ili na wao wajiskie kuwa wanapendwa. Kwahyo msitulaumu sana tupo kwaajili ya kuwapa moyo waliokata tamaa

Saaaafi
 
Kama Umeoa,Mkeo na Watoto nawaonea huruma sana,

Kama Hujaoa,basi mchumba wako naye atapata tabu sana,Ila ninachojua ipo siku tu naye atachoka,

Na Fimbo Ya Mungu Lazima Itakuandama Popote Uendapo

hahaaaa! Mkuu nilitaka nijue ni wangap wanasapot hyo mambo......... Haimaanishi kama mm ndio niko hvyo
 
hyo kauli yako hyo!!........... Unanijua?

Aah kumbe ata akili hauna..yaan umeshindwa ata kuelewa why nakwambia hvyo?ata tahira akisoma unayoandka hapa ata kujudge hvyo..limbukeni Wa wanawake wewee...umechelewa kuwajua afu unajfanya mjuaji wajanja tunakichora tuu hapa
 
Mie Siwezi kutaja ila najua wapo wanojiheshimu

Tena wengi saana..wanaune wajanja wote hawafanyi u.puuz kama huo..licha ya kujua madhara yake but pia wameshiza uhuni wote hakna knachowazuzua..wanaoa wakijua wanaacha nini na wanafata nini...sio hao malimbukeni wakiona k imekatsha tuu vidudu vnawaruka ruka .ushamba tuu
 
Njia kuu sio tu ina foleni, bali ina matuta pia.
 
Aah kumbe ata akili hauna..yaan umeshindwa ata kuelewa why nakwambia hvyo?ata tahira akisoma unayoandka hapa ata kujudge hvyo..limbukeni Wa wanawake wewee...umechelewa kuwajua afu unajfanya mjuaji wajanja tunakichora tuu hapa

huo ndio mtazamo wako. Na spendi kulumbana na ww kwa ujinga...... Ok! Mda utafika ntakuweka tu kwenye barrow ndipo utajasimlia...... Najua utajifunza kutowaropokea hovyo usiowajua.....
 
Tena wengi saana..wanaune wajanja wote hawafanyi u.puuz kama huo..licha ya kujua madhara yake but pia wameshiza uhuni wote hakna knachowazuzua..wanaoa wakijua wanaacha nini na wanafata nini...sio hao malimbukeni wakiona k imekatsha tuu vidudu vnawaruka ruka .ushamba tuu

Nakubaliana na ww kwa asilimia 100,Wengi wanajiendekeza kwenye hiyo michepuko tu,
 
hahaaaa! Mkuu nilitaka nijue ni wangap wanasapot hyo mambo......... Haimaanishi kama mm ndio niko hvyo

Kumbe mie nkajua nawe ni muumini wa michepuko
 
Kumbe mie nkajua nawe ni muumini wa michepuko

hakuna kitu kama hcho mkuu..... Nilitaka nijue je wangap wanapenda na wangap hawaungi mkono...... Lazma ufanye reseach ndogo na kwamda mfupi. Ukipata like ujue anapenda akikosoa ujue hapendi
 
ndio hapo mkuu! Mm nawaambia wanawake wote kuwa mtusamehe tu. Tuchukulien kuwa hcho ndio kilema chetu. Lakin kugegeda nje hakukwepeki hyo lazma....... Kwasababu kuna wakat ham kwa mkeo inaisha kabisa lakin ukienda nje mtanange kama kawa....... Ili nipate ham na ww lazma nikuchenge kidogo..... Huo ndio ukweli

kwa hyo kuendeleza michepuko na ufuska ni kilema mh what a shame may be that wil be spirit of lust thats not normal bwana having many michepuko mh!
 
hakuna kitu kama hcho mkuu..... Nilitaka nijue je wangap wanapenda na wangap hawaungi mkono...... Lazma ufanye reseach ndogo na kwamda mfupi. Ukipata like ujue anapenda akikosoa ujue hapendi

Hapo twaenda sawa,
Lakini ungejaribu kutoa ushauri kidogo hasa kwa sie vijana ambao tunajiaanda kuingia kwenye hicho chama,
Ulivo egemea upande mmoja wengine wanashabikia tu.
Lakini Sio Jambo Jema kabisa
 
huo ndio mtazamo wako. Na spendi kulumbana na ww kwa ujinga...... Ok! Mda utafika ntakuweka tu kwenye barrow ndipo utajasimlia...... Najua utajifunza kutowaropokea hovyo usiowajua.....

Wewe kwanza hunitishi lolote!!..pili koma kuni pm ..nimekukukwaza..nimekudharilisha whatever ungekuja kureply hapa ushasikia?..unavyodai uko pm nimekudharilisha kitu gani?we unavyo nadi Sera zako za kudharilisha wanawake hapa unadhania hutuumizi?...umekosa hoja unaanza vitisho kumbe ulitaka nikuoteje ..mjanja very clever etiii.hahahaa ata wewe haunijui pia na hao wanawake unaowadharilisha too bad huwajui..go ahead utastaajabu
 
Back
Top Bottom