Kwa mwanamke anyejielewa mara nyingi Kama huna condom na aka demand condom basi mzigo hupati siku hiyo. Ila kuna wengine wajinga tu hawajali afya zao.Yaani ni asilimia chache Sana za mwanamke kujilinda eti atumie kinga,akishaingizwa ndani,na jamaa,labda limuulumie tu,yeye tu hawezi
Anaweza kudimand,ukavaa pale unapoend kuzamisha tu unachomoa,anashtukia tu ndani ujanja haupo tenaKwa mwanamke anyejielewa mara nyingi Kama huna condom na aka demand condom basi mzigo hupati siku hiyo. Ila kuna wengine wajinga tu hawajali afya zao.
We mwanaume au mwanamke manake kinachouma mtu ni kufkria kile alichokuwa anahis mchepuko alipokuwa anapokea mashamsham huku infinywa kwa ndani huko.. [emoji3064]Ivi ni kwa nini mwanaume akigundua mke wake anachepuka, ama mpenzi wake anamusaliti huwa mkali,na mwishoe kuvunjika kwa ndoa,ilihali na yeye huwa anachepuka,,wadau ebu tujadili hapo tuone tatizo ni nni hasa,kwa nini asichukulie kawaida,
Hiyo hakuna mzee, utachomoa muda huo huo na hayo mahusiano yanaweza kuishia hapo. Naongea kwa uzoefu ndugu yangu.Anaweza kudimand,ukavaa pale unapoend kuzamisha tu unachomoa,anashtukia tu ndani ujanja haupo tena
Kwa hiyo mzee upo tayari kulea watoto wa wanaume wenzako ndani mwako?Mm sinaga wivu na kiungo cha mtu, ilimradi heshima iwepo. Na atumie Kinga asilete magonjwa nyumbani. Maana hata ufanye nini mke kugongewa ni asilimia 98.9.
Unafikiria vng yaan katoka hm kapanda gar kafika kavua jamaa kaweka katulia tuu aaaaah bora tuachaneMbona wewe akikuta umechepuka wanawake wengi ukimuomba msamaha yanaisha lakini ww mwanaume kwa nini na yeye asikuombe msamaha yaishe.
kitanda hakizai halamu ndugu, ila nisingependa itokee hivo na wala sikubaliani na mwanamke mwenye kuchepuka kabisa ila siwezi poteza muda wangu kumchunga mtoto wa mtu, yeye afanye ila likinifikia mezani mkeka unakuwa umechanika kaka.Kwa hiyo mzee upo tayari kulea watoto wa wanaume wenzako ndani mwako?
Upo sahihi, wanawake wengi huwa hawana maamuzi kwenye kutumia kinga, maamuzi anakuwa nayo mwanaume. Atakuambia beba kondom, ukifika ukimweleza umekosa atakupa mzigo, na kuna wakati unaweza beba ukamwonyesha nimebeba akavua nguo ukamtia bila kinga, na mkaishia kuziacha hapohapoYaani ni asilimia chache Sana za mwanamke kujilinda eti atumie kinga,akishaingizwa ndani,na jamaa,labda limuulumie tu,yeye tu hawezi
Hyo ndo point ya msingi,lakini kusema eti mwanamke ajilinde hyo ni asilimia ndog kwa wanawake,mwenye asilimia kubwa ni mwanaume tuUpo sahihi, wanawake wengi huwa hawana maamuzi kwenye kutumia kinga, maamuzi anakuwa nayo mwanaume. Atakuambia beba kondom, ukifika ukimweleza umekosa atakupa mzigo, na kuna wakati unaweza beba ukamwonyesha nimebeba akavua nguo ukamtia bila kinga, na mkaishia kuziacha hapohapo
Hyo ujasiri hawana, wakishaona ona tu dudu wanachanganyikiwa,Hyo ndo point ya msingi,lakini kusema eti mwanamke ajilinde hyo ni asilimia ndog kwa wanawake,mwenye asilimia kubwa ni mwanaume tu
Wangekua ni provider yaan wao ndio waatuhudumie sis kwa kila kitu wala tusingekua wakal sana...Hivi ni kwa nini mwanaume akigundua mke wake anachepuka, ama mpenzi wake anamsaliti huwa mkali na mwishowe kuvunjika kwa ndoa, ilihali na yeye huwa anachepuka?
Wadau hebu tujadili hapo tuone tatizo ni nni hasa, kwa nini asichukulie kawaida?
Mimi ni mwana doa sina ndoa....mkuu hili jina dogo ila linataka uzalendo wa hali ya juu sana.wanandoa uzi wenu huu