Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

Sasa kama anauwezo wa kukumake ufeel better man na mengine mengi kuna haja gani ya kumstopisha jf ilihali hii ndo njia iliyowakutanisha?
 
kwani kukaa kwangu jf unadhani itanifanya nisiwe patner mzuri? if yes why?
 
Sasa kama anauwezo wa kukumake ufeel better man na mengine mengi kuna haja gani ya kumstopisha jf ilihali hii ndo njia iliyowakutanisha?
kuna connection gani ya mahusiano yenu huko na mtu kuwa member wa jamii forums?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…