instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe umekutana na wachaga walioishia lasaba halafu wapo bize kutafuta hela.
Anajibu msg Mara Mangi nipimie mchele nk
Uzuri silaha kuu ya chambi ipoo.... Bora uwe ovyo kote usikose chambi asee[emoji23][emoji23][emoji23]Pesa unapata na bikra yako unabaki nayo[emoji85][emoji85]
Cc 4G LTE
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
I will do independent review kwa hili[emoji2955]Una utani wa kweli wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa.hakuna uchakavuPesa unapata na bikra yako unabaki nayo[emoji85][emoji85]
Cc 4G LTE
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mmbo kukeuruuya!! Kulumanyaa da!
Nimecheka sana!NaKUpeNDa SanA mIsS nAtAFUta, YaNi UkIWa KaRibU yaNGu hAlI yA UkAMe InaKUJa MdOMonI nA ghAFlA NahITaJi MajI bAriDI kuTOKa MDOMONI kWakO.
Marahaba dada angu... Tunazaana sana eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shikamoo mdogo wangu!
Nakwambia utani wangu unanifanya nitupiwe mawe ya kutosha na wachagga😂😂😂Una utani wa kweli wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani nani amekutuma ujaribu wanaume wote wa kichaga?Watani zangu bna
Hela ipo .mnamiliki simu Kali ila kuandika sms ni shida.
Yaani ukidate mchaga sahau romantic sms.hata akiandika haina mvuto full macapital letters yamemiksiwa na small letters. Sms yenyewe fupi .
Ila kitu nawapenda ile button ya *150* [emoji16][emoji16]mko mpoa
Pia ni wanaume pekee ambao hamuachi uchakavu
Pia mnajua kuoa sana.yaani wadada ukiona umefulia nenda kwa mchaga hukosi mtoto au mume hawatumii condom wale
Sent using Jamii Forums mobile app
So kipi cha muhimu kwenu? Kuvimbishwa pochi zenu au kukwanguliwa at zero return?Nakwambia utani wangu unanifanya nitupiwe mawe ya kutosha na wachagga[emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 Jf bana..Watakuwa wanafunzi tu hao bado wanajifunza kuunga sentensiWatani zangu bna
Hela ipo .mnamiliki simu Kali ila kuandika sms ni shida.
Yaani ukidate mchaga sahau romantic sms.hata akiandika haina mvuto full macapital letters yamemiksiwa na small letters. Sms yenyewe fupi .
Ila kitu nawapenda ile button ya *150* [emoji16][emoji16]mko mpoa
Pia ni wanaume pekee ambao hamuachi uchakavu
Pia mnajua kuoa sana.yaani wadada ukiona umefulia nenda kwa mchaga hukosi mtoto au mume hawatumii condom wale
Sent using Jamii Forums mobile app
Woiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]