Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #61
Sijawai kuwaona duniani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi wazaramo wamo humu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawai kuwaona duniani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi wazaramo wamo humu?
Hata akiwa mmoja hatawezekana humu😄😄😄😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi wazaramo wamo humu?
Long time no see,Wewe umekutana na wachaga walioishia lasaba halafu wapo bize kutafuta hela.
Anajibu msg Mara Mangi nipimie mchele nk
Usipende kuamini la kusikia njoo uhakikishe mwenyewe Mama!Ila nasikia ni walegevu
Wewe pia Mchaga(Ulibomoleshewa nyumba)Kumbe kuna wachagga wa ndani na wa nje. Wa nje ndio wale waliobomoleshewa nyumba zao na jiwe kule kimara ?
Atakuwa na matege ya ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NaKUpeNDa SanA mIsS nAtAFUta, YaNi UkIWa KaRibU yaNGu hAlI yA UkAMe InaKUJa MdOMonI nA ghAFlA NahITaJi MajI bAriDI kuTOKa MDOMONI kWakO.
Hahahaha
Yani mtu anajitangaza alivyo mzururaji( kuna njia moja tu kujua fulani anatumia condom au hatumii hence wewe ni ******) na anajiona yuko sawa kabisa!!! Tunakolekea sijui itakuaje...Watani zangu bna
Hela ipo .mnamiliki simu Kali ila kuandika sms ni shida.
Yaani ukidate mchaga sahau romantic sms.hata akiandika haina mvuto full macapital letters yamemiksiwa na small letters. Sms yenyewe fupi .
Ila kitu nawapenda ile button ya *150* [emoji16][emoji16]mko mpoa
Pia ni wanaume pekee ambao hamuachi uchakavu
Pia mnajua kuoa sana.yaani wadada ukiona umefulia nenda kwa mchaga hukosi mtoto au mume hawatumii condom wale
Sent using Jamii Forums mobile app