Kwanini wanaume wa kichaga hawajui kuandika sms?

Kwanini wanaume wa kichaga hawajui kuandika sms?

Dume halisi huwa linachat kitandani wakati wa kushinduliwa kisawasawa ndio utaijua charting yake
Hawanaga Pehle Pehle wala mapenzi ya kuch kuch hota hai[emoji1321]‍♂️
 
Ukiona mwanaume anajua kutafuta hela and at the same time anajua kiandikia meseji nzuri za kimahaba, elewa tu kuwa hao ni wanaume wawili tofauti.

Those two features can't coexist in the same person coz each person has just one brain...not two!
 
We dada ndoooroobooo kabisa labda huyo uliyekutana nae usijumlishe wote.
Watani zangu bna
Hela ipo .mnamiliki simu Kali ila kuandika sms ni shida.
Yaani ukidate mchaga sahau romantic sms.hata akiandika haina mvuto full macapital letters yamemiksiwa na small letters. Sms yenyewe fupi .
Ila kitu nawapenda ile button ya *150* [emoji16][emoji16]mko mpoa
Pia ni wanaume pekee ambao hamuachi uchakavu
Pia mnajua kuoa sana.yaani wadada ukiona umefulia nenda kwa mchaga hukosi mtoto au mume hawatumii condom wale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise!!!!! Mambo ni mengi mda ni mchache

Nimeona hapo juu umempa kibali jamaa aje akuonje
 
Ukitaka maisha nenda kwa mchaga, ila ukitaka maromantic angalia kabila lingine labda huko Tanga
 
Watani zangu bna
Hela ipo .mnamiliki simu Kali ila kuandika sms ni shida.
Yaani ukidate mchaga sahau romantic sms.hata akiandika haina mvuto full macapital letters yamemiksiwa na small letters. Sms yenyewe fupi .
Ila kitu nawapenda ile button ya *150* [emoji16][emoji16]mko mpoa
Pia ni wanaume pekee ambao hamuachi uchakavu
Pia mnajua kuoa sana.yaani wadada ukiona umefulia nenda kwa mchaga hukosi mtoto au mume hawatumii condom wale

Sent using Jamii Forums mobile app
SaS uNataKa romaNtik na HelaAhh?aisEe hAiWezekaNiii
 
Back
Top Bottom