Kwanini wanaume waliooa huacha kuwashirikisha wenza wao kwenye vyanzo vyao vya mapato?

Kwanini wanaume waliooa huacha kuwashirikisha wenza wao kwenye vyanzo vyao vya mapato?

Mi mwanzo wa mwaka namwambia wife mwaka huu tunafanya jambo hili,hili na hili.

Nakupa hela weka nisikute ht sh kumi imetoka na sitaki kusikia sababu yeyote ile bima ya afya zipo,chakula kipo na vicoba nishalipa.

Vita zinaanza yeye anasuka mipango ya kutafuta sababu ya kuchomoa japo laki 2 na mimi nasuka mipango ya kuzuia mpunga usitoke.

Nampigaga mkwara huo mpk hela anaisusa.

Tukubaliane hapa wanawake zetu hawa wengi wao hawawazi ht siku 2 mbele yaani unawezakaa na mkeo masaa 2 unamuelezea mpango wa jinsi ya kui attack 2022 na ukampa hela kabisa atunze yeye hlf mtu anakuja na ombi la hela ya kununulia kitu luxury tu cha kipuuzi tu yaani inakuwa km umepoteza mda kumuelezea mipango yako.INAKERA

Mi uwaga nageuka namkata jicho hilo anajua kabisa huyu mbwa anipi ht mia mbovu.

Yaani mwanamke hawazi kabisa nini kitatokea mbele,mwanaume upo busy kufanya mahesabu ya jinsi ya kuingiza pesa nyingi yeye analeta hoja ya jinsi ya kuzitumia.

Mi kwenye hizo sector nakuwaga dictator sitaki kbs plan iguswe nuna utakavyo hela haitoki.Mwisho tukinunua assets ndo utasikia apataye mke apata kitu chema,Eti yeye ndo kasababisha mi nifanikiwe zaidi wkt alikuwa ananisumbua tu.Wanapenda kuwa proud na achievements za familia ila kushiriki sasa ndo shida
Wanawake zetu hawajafundishwa ku handle mwanaume anayetafuta mafanikio, no wonder wanaume wengi hawataki kuwashirikisha wake zao,wanajua sana kukatisha tamaa lakini vile vile wanajua sana kujimilikisha mafanikio yasiyowahusu.

All in all,ukipata mwanamke mwenye akili mshirikishe at least 80% ya income yako,hiyo 20%bakisha ya kunywea alkasusu[emoji23][emoji23].
Usipo kuwa mkali hamfanyi maendeleo maana akili zao zinawaza kupata na kutumia hazi focus maisha ya mbele.
 
Kuna kitu umekigusa hapo, Mimi mara nyingi huwaga napishana kauli na mke wangu kwa suala kama Hilo... Siku hizi ananiuliza eti pesa hazioni naficha kwenye gari... Sasa na Mimi namuuliza swali niambie ni siku gani umelala na njaa, na siku gani ndani sijakupa akiba na Hela yako ya matumizi binafsi? Anakosa jibu maana hakuna hata siku moja ambayo kakosa anachikitaka kwa matumizi ya mwezi mzima. Ila ndo hivo hamridhiki mpaka muoneshwe pesa mkononi.
Lengo hasa la kutaka kujua hela zote zilipo ni kutafta excuse ya kuongezewa fungu! Kwamba ulichompa mbona ni kidogo compared na unachokificha?😅 Akijua ataanza kusema unaficha ili uwape wanawake zako wengine😅
 
Mi nafikiri hatuwashirikishi kwa sababu ya negative attitude za wanawake kwa waume zao.
1) wanawake 95% wanaamini mume ataanza kufa, hivyo ata ukimshirikisha atakua kama mtu aliepewa lifti akapiga na horn. Yaan atapambana mpaka yeye ndio awe kila kitu na mwenye final say.kwa point hii basi wanawake ni wabinafsi

2) kwenye project yoyote wanawake huwa wepesi ku panic incase kuna loss yoyote. Kwa mfano mkianzisha biashara na ika fail mwanamke ata lalamika na kuongea mpaka ukoo mzima ukajua. Na mwishoe mnaweza ata kugombana

3) hatuwashirikishi kwa sababu wanawake wanaamini mume akiwa na hela nyingi atawaza kama sio kuongeza mke basi kutafuta mchepuko mmoja mzuri sana. Tofauti na mwanamke ambae akipata pesa nyingi hua anaona au anahisi hana sababu ya kua na mwanaume.
Sasa basi mke akijua mkwanja wako wote atapambana akupangie mpaka daily routine zako .

Lastly kuna baadhi ya matumizi ya kiume mke hua anaamini ni opetevu wa pesa. Kwa mantiki hiyo mke atakijiwi kujua unamiliki nini
Alafu wanawake bwana...yaani yeye amekuja kwako kuolewa kwa sababu una hela but yeye hataki mwanamke mwengine akupe mbususu kwa sababu una hela🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mi mwanzo wa mwaka namwambia wife mwaka huu tunafanya jambo hili,hili na hili.

Nakupa hela weka nisikute ht sh kumi imetoka na sitaki kusikia sababu yeyote ile bima ya afya zipo,chakula kipo na vicoba nishalipa.

Vita zinaanza yeye anasuka mipango ya kutafuta sababu ya kuchomoa japo laki 2 na mimi nasuka mipango ya kuzuia mpunga usitoke.

Nampigaga mkwara huo mpk hela anaisusa.

Tukubaliane hapa wanawake zetu hawa wengi wao hawawazi ht siku 2 mbele yaani unawezakaa na mkeo masaa 2 unamuelezea mpango wa jinsi ya kui attack 2022 na ukampa hela kabisa atunze yeye hlf mtu anakuja na ombi la hela ya kununulia kitu luxury tu cha kipuuzi tu yaani inakuwa km umepoteza mda kumuelezea mipango yako.INAKERA

Mi uwaga nageuka namkata jicho hilo anajua kabisa huyu mbwa anipi ht mia mbovu.

Yaani mwanamke hawazi kabisa nini kitatokea mbele,mwanaume upo busy kufanya mahesabu ya jinsi ya kuingiza pesa nyingi yeye analeta hoja ya jinsi ya kuzitumia.

Mi kwenye hizo sector nakuwaga dictator sitaki kbs plan iguswe nuna utakavyo hela haitoki.Mwisho tukinunua assets ndo utasikia apataye mke apata kitu chema,Eti yeye ndo kasababisha mi nifanikiwe zaidi wkt alikuwa ananisumbua tu.Wanapenda kuwa proud na achievements za familia ila kushiriki sasa ndo shida
Wanawake zetu hawajafundishwa ku handle mwanaume anayetafuta mafanikio, no wonder wanaume wengi hawataki kuwashirikisha wake zao,wanajua sana kukatisha tamaa lakini vile vile wanajua sana kujimilikisha mafanikio yasiyowahusu.

All in all,ukipata mwanamke mwenye akili mshirikishe at least 80% ya income yako,hiyo 20%bakisha ya kunywea alkasusu[emoji23][emoji23].
Umenena yote mzeya. Wana kauseminkao kakifala sana oh behind every succesful mannthere is a woman🤣🤣🤣🤣🤣. Behind every succesful man there is hardwork and determination bwana.
 
Usipo kuwa mkali hamfanyi maendeleo maana akili zao zinawaza kupata na kutumia hazi focus maisha ya mbele.

Kaka

Hawa watu hawawazi ht week mbele

Hili ni jukumu letu yaani ili mwanamke aanze kuwaza hivyo labda uwe na watoto 4 mmepamga na anaona mnaelekea kuzeeka kdg atajiongeza

Tunajenga lini ila hivi hivi yeye kazi yake ni makochi fashion mpya,gauni fashion mpya na tukatalii wapi
 
Mwanangu umeuwa! Bonge moja la point kwa siku ya leo! Ngoja niifanyie lamination kabisa hii point!

Nina mshikaji wangu kayumba kiuchumi kidogo,siku hizi mke wake hamuwekei mafuta mengi kwenye gari,anapiga hesabu kabisa za mwezi kiasi gani,ndiyo anaweka,sasa ndugu zetu si unajua misele yao,anaweza endesha gari kutoka Bunju kwenda kigamboni kusuka nywele za 30,000! Halafu anatumia mafuta zaidi ya hiyo pesa!

Basi siku hizi kapata jamaa kampa kadi kabisa ya total yenye salio la 2M kwa mwezi! Ana Harrier tako la nyani! Msela anapitia wakati mugumu sana, mwanamke kawa busy kama yeye ndiyo ADC wa Samia!
Huyo sio mke ni changu,na huyo jamaa yako anavumilia uhuni wa mkewe mpka ushahidi wa mtoa kadi ya 2m total...ataishia njiani hafiki mbinguni kwa kuvumilia uzinzi wa mkewe
 
Acheni ubinafsi kama mama yako asingeaminiwa na baba yako Leo mngefika hapo ebu waangalie wanao ni yupi atakae Walea na kuwajali zaid nimama yao ila mama yako hawezi kuonyesha upendo mkubwa kama alionao mama yao hivyo kama umeamua hivyo bac jua wanao wataish maisha magumu na watakukumbuka kwa mabaya yako na kukulaani kila Leo na ikiwa bahat mbaya wakakosa support ya elimu labda ukifarik hapo ndio chuki itaongezeka Mara dufu.
Kama unamuona mama wa thaman sana kuliko mkeo ni bora usioe wala usiwe na watt
Nyie ndio mnakariri sisi kutangulia kufa
 
Hapo itabidi wanaume nawenyewe waelew kuwa mwanamke nae anahaki yakujua Mali za mumewe na kushirik kikamilifu sabab kuna visa vingi vinatokea.
Mfano kuna baba mmoja huku mtaani amekufa ikiwa yuko Nyumba za kupanga na alikuwa na kazi nzur, mkewe hajui Mali za mumewe na ndugu zake pia hawazijui baada ya mazishi kuisha ndio wakaanza kufuatilia wakakuta huyo marehem nyaraka zote za Mali zake na kila kitu chake alimpa mchepuko kama msimamizi. Visa kama hivi vinapelekea wanawake kuogopa zaid kuchangia ndani ya familia badala yake wanaanza kutengeneza maisha yao kwa siri sana
Dah hyo ni kweli unajitoa wewe hujijengi mume anapeleka tu kwa mchepuko
 
Back
Top Bottom