witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hahaha nawaona omba omba[emoji38][emoji38][emoji38]Jamani nisamehe hivi kila wakati ukiomba nikakupa sema Laki
Zikiwa x 10 hapo hujakaa na kuuza hata samaki wa kukaanga
Tatizo sio hilo ila naona ni kuona kama mtu ana hadhi ya kuwa na Range wakati hata baiskeli hana
[emoji23][emoji23]
Ila nawapenda
witnessj
Evelyn Salt
Dinazarde
Makiwendo
cocastic