Mwanaume akitegemewa na ukoo mke jiandae kusakamwa na kuonekana mchoyo hatariNjaa zitatuua kwakwel nasasahiv mwanaum akiwa na hela wazaz weny njaa watamuona kama malaika ataakisema wamsafishie gari utamuona baba mkwe ananyenyuka kusafisha yote tu kupata unaafuu wa maisha.
Jaman tunapaswa kujua umuhim wakufany kaz na kujitegemea kiakili pamoja na kuwaelimisha wazaz kwanza washukur kwa maisha waliyo nayo nawaelew maisha ya binti pamoja nakulinda furaha ya binti yao
Watu hawafanani ni tofauti kabisa ni sawa na viatu viko vingi sana na size tofauti hii same applied na kwa binadamu tafta mtu utakayeendana naye maono Ili awe ka kiatu size yakoWanaume wote wana fikra sawa na wewe ila shida moja ni kuwa hawa viumbe wote wanafanana tabia sasa utaacha wangapi
[emoji23][emoji23]Tako tepe tepe
Wala hatukarir lakin kusiwepo na usiri wa unachokimilik kwa mkeoNyie ndio mnakariri sisi kutangulia kufa
Halafu mbaya zaidi wakijua kuwa mwanamke anajenga bac huwanza wivu wakipuuzi na kujinunisha hovyo nakuleta ubabe wakipuuzi. Wanaume aina hii niwakupigwa matukio mpk akili ziwakae sawa wakija kushtuka tayr haupo umeanza maisha yako sehm nyingnDah hyo ni kweli unajitoa wewe hujijengi mume anapeleka tu kwa mchepuko
Mbaya zaidi akiwa na Mali hapo ndugu zake watakuita mchawi nakuleta vurugu hasa mawifi kuanza kumdangia kaka yao nakuwa nawivu. Ila akiwa kapuku ndugu watakuona wamaana sana nakujifanya kukupenda wakijua umewafichia aibu ya ndugu yaoMwanaume akitegemewa na ukoo mke jiandae kusakamwa na kuonekana mchoyo hatari
Mali utaambiwa ila mshahara hautambiwa iko hivyo siku zote labda kwa wachache ila wengi wetu iko hivyo huu utaratibu tumeukuta kwa wazee na walikuwa na maana yao tunauendeleza na bado watoto wetu wa kiume watautumiaWala hatukarir lakin kusiwepo na usiri wa unachokimilik kwa mkeo
Ili uje uuawe?Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
Utazijua baada ya kufaWanaume wasiojielewa ndio huficha mambo Matokeo Yao hufa ghafla na kuacha familia ikiteseka, Sasa unaishije na mtu usiye mwamini na hamshirikishani mambo yenu, wanaume oeni wanawake mnaoendana nao vision
Siku ukihitaji pesa ya haraka ukapige magoti kwa mke sio? Sina huo ujinga..hii formula alikua anaitumia rafiki yangu mmoja..yeye huwa anapokea mshahara kama 1M take home, kwahyo salary ikitoka anaenda nyumbani na laki 7 na nusu, wanaipangia bajeti ya mwezi mzima wakiwa wawili yeye na mke wake
imewasaidia sana hii wala hawajawahi kugombana japo inahitaji umpate mke mwenye akili kuweza kuipangilia matumizi vzur..
Hapa nimechukua point,nitafungua mradi afu namuweka then faida ya hapo ndio ifanye shared issues afu zangu kama salary nitakuwa najiwekea akiba..Huo upuuzi wa sheria ya ndoa mtadili nao nyie! Chakula nitanunua ila mke lazma achangie kwenye kuijenga familia ili awe na uchungu na familia! Mwanamke pekee anaweza kufanya haya ni anayekupenda kwa dhati sio wale ambao wananufaika na huduma hizo!
Hii tabia ya kufuga wanawake kama paka au mbwa ndio imepelekea hata wao kuvunja ndoa kwao ni rahisi sababu hawana cha kupoteza! Mgawane mali kirahisi yeye hana alichowahi changia toka mmeanza atakuwa vipi na uchungu na wewe?
Nyumba umejenga wewe, gari umenunua wewe lako na lake, biashara umefungua wewe au kazi umemtafutia wewe .Yeye kazi yake ni kutanua mapaja tu na kujiliza liza na shida zake za kila siku akiskilizia utoe hela umpege tu! Na kazi anayo hapo...
Kwa sisi mila zetu za kipare mwanamke ni muwajibikaji sio mfugo!
Inakuwa ni biashara ya familia kwa ajili ya mambo ya msingi tuu,akizingua bora akae benchi turudie ya zamaniHahah, hili la kuchangia nadhani litakupa ugumu zaidi kwenye suala la wewe kuwa KICHWA,
Vipi ni mbinu unayoitumia au unatarajia kuja kutumia?
Unapenda kutunga stori ambazo hazipo..Jamaa kakupa jibu zuri Sana,nyie si mnasema mwanaume hana faida sasa how comes familia ziteseke baada ya kifo?.Wanaume wengi sikuhizi tia maji tia maji Hadi mke analipia mahari yake
Ofcourse hapo inakuwa haina mjadala yani wote mmeshare resources na trust me hawezi leta ujinga ukiweka huo mfumo sababu unakuwa na full time supervision juu ya kinachoendelea kwenye mradi.Hapa nimechukua point,nitafungua mradi afu namuweka then faida ya hapo ndio ifanye shared issues afu zangu kama salary nitakuwa najiwekea akiba..
Tukivurugana tunagawana jasho,hii inapunguza maumivu.
Ukitaka biashara ya mwanamke iwe vizuri uwe msimamizi la hasha ujiridhishe kwamba ana kichwa cha biashara..Mimi nakumbuka kipindi naanza ajira matumizi binafsi ndani kwa mwezi laki 6 inaisha na hapo tunaishi mbali yeye town mimi bush kwenda mjini mara moja moja, nikajitoa kumfungulia biashara ya kama Milioni 6 hivi duka la nguo akaanza kunambia rafiki zake wanamshangaa kasoma ila anauza duka la nguo miezi 6 baadae biashara ikafa hakuna pesa wala nguo zilizopo kumuuliza eti kakopesha aliowakopa wamekimbia.
Haja ipo ya kuzaa watoto kwenye mpango unaoeleweka.Usipo muamini mkeo unatak umuamini nani sasa kuna haja gani yakuoa sibora uendlee kununua Malaya wakufurahishe kimwili ukitaka watoto zaa na wanawake wengine ulee mwenyew
Utasikia namlea mtoto wangu aje anisaidie baadae akikua 😄😄 ,zero brainYes wapo wengi tu tena nawengine wanaumri mkubwa ukimuuliza unamalengo gan au ndoto gan kweny maisha yake bado hajui chochote. Hata ukimuuliza wew ni nani hajijui sasa huyu tumuwek kundi gani?
Hapo ndipo mimi tulishashindana na wanawake,wanakuaga na uchungu hadi roho zinataka kuwachomoka kwa pesa ya mwingine..Unampa laki 3 anatuma mbili anakwambia wakala hakuwa na float ya kutosha😅😅😅! Yani mwanamke ana uchungu hata na hela ambayo hajatoa yeye!